Mfanyakazi wa ndani ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua dada wa mwajiri wake

Arusha. Mahakama ya Rufani imebariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa aliyohukumiwa aliyekuwa mfanyakazi wa ndani wa kiume (houseboy), Robert Steven, kwa kumuua kwa kumnyonga mdogo wa mwajiri wake, Theopista Laurent, kisha kuiba vitu vya ndani na kukimbia. Tukio hilo lilitokea Oktoba 15, 2021, katika Kijiji cha Rukabuye, wilayani Missenyi, mkoani Kagera, ambapo inadaiwa mrufani alikuwa…

Read More

Odinga amkingia kifua Rais Ruto

Kenya. Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amewajibu wakosoaji wa Serikali ya Rais William Ruto wanaotaka aondoke madarakani huku akisema wanataka atoke aende wapi. Kauli ya Odinga inakuja zikiwa zimepita  siku chache tangu asaini makubaliano ya kufanya kazi na Rais Ruto nchini Kenya. Makubaliano hayo kati ya Chama cha United Democratic Alliance (UDA)…

Read More

Wazir JR mambo magumu Iraq

MSHAMBULIAJI wa Al Mina’a inayoshiriki Ligi Kuu nchini Iraq, Wazir Jr Shentembo ugumu wa ligi hiyo unampa changamoto ya kuipambania timu hiyo. Mina’a iko nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi hiyo maarufu ‘Iraq Stars League’ ikiwa na pointi 25 kwenye mechi 24 ilizocheza, ushindi mechi sita, sare saba na kupoteza 11. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Kesi tuhuma za ulawiti nje ya nchi yakwaa kisiki kortini

Dodoma. Mahakama Kuu, masjala Kuu ya Dodoma, imeyatupa maombi ya Watanzania wawili, waliokuwa wanataka kurejeshwa nchini kwa raia wa Oman, Tariq Ahmed Alismail anayeshukiwa kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba. Uamuzi huo umetolewa Machi 14, 2025 na Jaji Fredrick Manyanda akisema Mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza shauri hilo kwa kuwa limefunguliwa…

Read More

Makambo apewa mwaka Hessenliga | Mwanaspoti

NYOTA wa Kitanzania, Athuman Masumbuko ‘Makambo’ amesema amesaini mkataba wa mwaka mmoja na klabu ya SC Viktoria inayoshiruiki Ligi ya Ujerumani maarufu Hessenliga. Awali nyota huyo wa zamani wa Mashujaa na Mtibwa Sugar ya vijana U-20, msimu uliopita alijiunga na 1.FCA Darmstadt ya nchini humo kwa mkataba wa miaka mitatu. Akizungumza na Mwanaspoti, Makambo alisema…

Read More