Shambulio la Zaporizhzhia linaashiria vifo vingi zaidi vya raia katika takriban miaka miwili – Masuala ya Ulimwenguni

Raia 13 waliuawa, na 110 kujeruhiwa, wakati mabomu mawili ya angani yalipopiga kituo cha viwanda katika mji wa kusini. Hii alama idadi kubwa zaidi ya majeruhi ambayo HRMMU imerekodi tangu jengo la makazi katika jiji la Dnipro lilipopigwa tarehe 14 Januari 2023, na mbaya zaidi tangu duka kuu la Kostiantynivka, mkoa wa Donetsk, lilipopigwa tarehe…

Read More

Zanzibar, Harambee patachimbika | Mwanaspoti

UHONDO wa michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 hatua ya makundi inahitimishwa usiku wa leo kwa mchezo utakaowakutanisha wenyeji, Zanzibar Heroes dhidi ya Harambee Stars ya Kenya, ili kuamua timu ya kucheza fainali. Jana usiku Burkina Faso iliyokuwa nafasi ya pili na pointi nne sawa na Kenya, ilikuwa ikimalizana na Kilimanjaro Stars ambayo inaburuza mkia…

Read More

Job atoa msimamo mzito Mauritania

KIKOSI cha Yanga tayari kimeshatua Mauritania tayari kwa ajili ya pambano la raundi ya tano la Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Kundi A dhidi ya Al Hilal ya Sudan, huku mmoja wa nyota wa timu hiyo akitoa msimamo dhidi ya wenyeji wao. Yanga inatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa Cheikha Ould Boidiya, jijini Nouakchott, Mauritiana kuwakabili…

Read More

Soka la Mzize lamshtua Mnigeria

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize ameendelea kuwa gumzo kwa mashabiki na wadau wa soka kutuokana na kiwango kizuri alichokionyesha hadi sasa katika mechi za mashindano zote za timu hiyo. Akiwa ndiye kinara wa mabao wa Yanga katika Ligi Kuu Bara akifunga mabao sita na kuasisti mara tatu, mbali na mabao matano aliyoyafunga kwenye michuano ya…

Read More

Baleke, Yanga ngoma nzito, ishu nzima iko hivi

YANGA imekuwa ikitajwa kutaka kumtema mshambiliaji Jean Baleke, lakini inaelezwa hadi sasa mambo bado magumu kutokana na kuwepo kwa vipengele vinavyoufanya mkataba baina yao usivunjike kirahisi. Awali, Yanga ilitaka kumpeleka Baleke kwa mkopo Namungo, lakini mchezaji anataka mkataba uvunjike alipwe chake na maisha mengine yaendelee, hivyo wanaendelea kujadiliana kuona jambo hilo wanalimaliza kwa uharaka. Mwanaspoti…

Read More

Simba yapewa Mbukinabe, Mnyarwanda Yanga

SIMBA na Yanga zipo ugenini kwa sasa zikijiandaa na mechi za raundi ya tano za michuano ya kimataifa inayopigwa wikiendi hii, huku Shirikisho la Soka Afrika (CAF) likitangaza waamuzi watakaozihukumu mbele ya wenyeji wao, Bravos ya Angola na Al Hilal ya Sudan. Simba inayoshika nafasi ya pili katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, itakuwa…

Read More

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa rambirambi huku kukiwa na moto mkali huko California – Global Issues

Moto huo, unaoelezewa kuwa mbaya zaidi katika historia ya jiji hilo, umeteketeza maelfu ya ekari, kuharibu nyumba na kuwaacha wazima moto wakipambana kudhibiti milipuko mingi katika hali ambayo haijawahi kutokea. “Katibu Mkuu ameshtushwa na kusikitishwa na uharibifu mkubwa unaosababishwa na moto unaoendelea kwa kasi,” alisema. MsemajiStéphane Dujarric, katika a kauliiliyotolewa tarehe Alhamisi. Bwana Guterres alitoa…

Read More

Ukuaji wa kimataifa kubaki chini katika 2025 huku kukiwa na sintofahamu, ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonya – Masuala ya Ulimwenguni

The Hali ya Kiuchumi Duniani na Matarajio (WESP) 2025 ripoti inaonyesha kuwa licha ya kustahimili mfululizo wa mishtuko inayoimarisha pande zote mbili, ukuaji wa uchumi wa dunia umedorora na kubaki chini ya wastani wa mwaka kabla ya janga la asilimia 3.2. Ripoti iliyotolewa na Idara ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Kiuchumi na Kijamii…

Read More

DC Mpogolo apokea taarifa uboreshaji Shule za Msingi Olympio Diamond, Zanaki Bunge, Mzizima na Kisutu

  Na MWANDISHI WETU MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amepokea taarifa maalumu ya mikakati ya uboreshaji wa Shule za Msingi Olympio Diamond, Zanaki Bunge, Mzizima na Kisutu ambayo imejikita kupunguza msongamano wawanafunzi kwa mwaka huu 2025 na kuinua taaluma. Akizungumza baada ya kupokea taarifa hiyo, Mpogolo amesema lengo ni kupunguza msongamano  wawanafunzi, kuboresha…

Read More