Mtoto aadabishwe au aadhibiwe? | Mwananchi
Dar es Salaam. Mtoto akikosea anatakiwa kuadhibiwa au kuadabishwa? Huu ni mjadala ulioshika kasi kwa sasa kukiwa na msukumo mkubwa wa kuondolewa adhabu ya viboko kwa kile kinachoelezwa haina matokeo chanya kwa anayeadhibiwa. Adhabu hiyo ambayo hutumika zaidi shuleni na wakati mwingine nyumbani inatajwa kuwa si tu huishia kumletea maumivu ya kimwili mtoto husika, bali…