Ujenzi daraja lililovunjika Same wafikia asilimia 95

Moshi. Ujenzi wa Daraja la Mpirani lililovunjika na kusababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara katika Barabara Kuu ya Same-Mkomazi, Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro umefikia asilimia 95. Daraja hilo ambalo lipo Kata ya Maore lilivunjika Januari 2, 2025 mwaka huu baada ya nguzo zilizokuwa zimelishikilia kuathiriwa na mafuriko kufuatia mvua zilizonyesha Desemba 20, 2024. Kuvunjika…

Read More

CUF yamtimua Mbunge wake, mwenyewe asema…

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF), kimemfuta uanachama mbunge wake wa Mtambile visiwani Pemba, Seif Salim Seif kwa kile kilichodaiwa amekisaliti chama hicho na kukiunga mkono chama tawala cha CCM. Hatua ya Seif kufukuzwa uanachama, inamuondolea uhalali wa kuwa mbunge, hivyo wananchi wa Mtambile watakosa mwakilishi hadi hapo Uchaguzi Mkuu utakapofanyika baadaye Oktoba 2025….

Read More

ACT wapendekeza mbinu kuepuka mikopo umiza

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimesema Serikali inapaswa kuanzisha mifumo rahisi ya mikopo kwa wananchi ili kuwarahisishia kuepuka mikopo isiyo rasmi maarufu kama mikopo umiza au kausha damu inayowaletea changamoto. Chama hicho kimesema aina hiyo ya mikopo inayotolewa na taasisi zisizo rasmi, imekuwa changamoto kwa wananchi, hasa wale wa kipato cha chini. Hata…

Read More

Lissu, Mbowe wawaweka njia panda wagombea mabaraza, kamati kuu

Dar es Salaam. Ushindani unaoendelea katika nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), unatajwa kuwapa wakati mgumu wagombea wa nafasi ngazi za mabaraza ya chama hicho. Ugumu huo, unatokana na kile kinachotajwa kuwa, inamlazimu mgombea kujipambanua upande anaouunga mkono kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe wanaogombea uenyekiti wa chama hicho. Mbowe…

Read More

Afariki dunia akidaiwa kunywa pombe za kienyeji

Babati. Mkazi wa Mtaa wa Sawe, Kata ya Maisaka, mjini Babati mkoani Manyara, Yona Angres amefariki dunia kwa kile kinachodaiwa ni kunywa pombe nyingi za kienyeji kupita kiasi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Ahmed Makarani akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Januari 8 mwaka 2025 amethibitisha kutokea kwa…

Read More

Moto wateketeza maduka mawili Handeni, wafanyabiashara walalamikia gari la Zimamoto

Handeni. Maduka mawili ya bidhaa za vyombo na mikate yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Jumatano Januari 8, 2025, wilayani Handeni, mkoani Tanga, huku wafanyabiashara wakilalamikia Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kushindwa kutoa msaada wa haraka. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi Digital leo, wafanyabiashara wa maeneo ya Chanika wilayani Handeni walisema moto huo…

Read More

MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU CCM YASHIKA KASI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameongoza Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Taifa kutembelea Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma ili kukagua maendeleo ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika tarehe 18 na 19 Januari 2025. Ukumbi huo, wenye uwezo wa kuchukua…

Read More