Wasichana wapewa mbinu kupambana na ukatili wa kijinsia

Dar es Salaam. Katika jitihada ya kukomesha vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwamo rushwa ya ngono kwa wanawake wajasiriamali, taasisi inayoshughulika na uwezeshaji wa wasichana ya Her Initiative imekuja na jukwaa mseto la kidigitali la Ongea Hub ili wasichana wajasiriamali waripoti matukio ya ukatili wa kijinsia. Pia, kupitia jukwaa hilo wasichana wajasiriamali wanaunganishwa na mamlaka…

Read More

Samwasa kusambaza maji kwa wakazi wa Kavambughu, Mahuu

Same. Wakazi 5,600 wa vitongoji vya Kavambughu na Mahuu wilayani Same, Kilimanjaro wameanza kupata huduma ya majisafi na salama baada ya Mamlaka ya Maji Same (Samwasa) kutekeleza mradi wa kuendeleza mtandao wa maji kwenye maeneo ya vitongoji. Mradi huo mkubwa wa maji unaohudumia wilaya za Same na Korogwe, Tanga awali ulimfanya Makamu wa Rais, Dk…

Read More

Madaktari wa wanyama 120 waondolewa sifa

Dar es Salaam. Baraza la Veterinari Tanzania (TVA) limewafutia usajili madaktari wa wanyama 120 kwa kushindwa kutimizwa matakwa ya sheria ya baraza hilo. Uamuzi wa kuwaondolea sifa wataalamu hao umefikiwa na baraza hilo katika kikao chake kilichoketi Desemba 23, 2024. Taarifa iliyotolewa Desemba 30, 2024 na Baraza la Vetenari, inaeleza kuwa, kwa mamlaka iliyopatiwa kwa…

Read More

Njia ya ndege yasitisha ujenzi mnara wa mawasiliano Uru, wananchi waja juu

Moshi. Wananchi wa Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kusitishwa kwa  ujenzi wa mnara wa mawasiliano uliokuwa unajengwa, hali inayowafanya kuendelea kuishi katika mazingira magumu ya kukosa mawasiliano ya simu katika kipindi hiki cha sayansi na teknolojia. Changamoto ya mawasiliano katika kata hiyo  inadaiwa kudumu kwa zaidi ya miaka 10, hali…

Read More

Fedha za Mfuko wa Jimbo zafungua barabara za mitaa Ifakara

Kilombero. Wakazi wa Kata ya Mlabani Halmashauri ya Mji wa Ifakara, wilayani Kilombero, wameipongeza Serikali kwa kutenga fedha na hatimaye kuchonga barabara mpya zitakazounganisha mitaa yao. Baadhi ya wananchi hao, akiwamo Elias Selemani akizungumza wakati kazi ya uchongaji barabara hizo ikiendelea amesema ujenzi wa barabara hizo utaboresha mawasiliano na kurahisisha usafiri hasa katika kipindi hiki…

Read More

Kilimanjaro Stars yaweka rekodi mbovu Mapinduzi Cup

WAKATI michuano ya Kombe la Mapinduzi mwaka huu 2025 ikishirikisha timu za taifa kwa mara ya kwanza, kikosi cha Kilimanjaro Stars kimejikuta kikiweka rekodi mbovu. Hatua hiyo imekuja baada ya leo Januari 7, 2025 kupoteza mchezo wa pili mfululizo dhidi ya Kenya kwa mabao 2-0. Mbali na kupoteza mchezo huo, pia ndiyo timu pekee ambayo…

Read More

Sura tofauti za mnyukano wa Gambo, Makonda

Dar es Salaam. Ingawa majibizano baina ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, na Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo, yanatafsiriwa kuwa hulka za viongozi hao, wanazuoni wanayahusisha na vikumbo kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Kwa mujibu wa wanazuoni waliobobea katika sayansi ya siasa, kilichojificha nyuma ya majibizano au ugomvi, kama inavyodaiwa na wengi,…

Read More