Wanaharakati wanaogopa misitu ya Kenya iliyotishiwa kwa sababu ya maendeleo ya serikali – maswala ya ulimwengu

Wahifadhi wa mazingira wanaandaa miche ya miti ili kuongeza juhudi za upandaji miti kati ya wasiwasi unaokua kwamba Kenya inapoteza misitu yake. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Nairobi) Alhamisi, Machi 13, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Mar 13 (IPS) – Baada ya ubishani wa kukomesha kwa miaka sita au marufuku ya muda…

Read More

Taasisi za Serikali zinavyosigana, kuibua migongano Zanzibar

Unguja. Wakati kukiwa na malalamiko ya kuendesha shughuli, biashara na ujenzi usiofuata taratibu, imebainika baadhi ya taasisi za Serikali kusababisha tatizo hilo na kuibua migongano huku kila upande ukijiangalia badala ya kuangalia masilahi ya umma na Serikali. Kadhalika, imebainika nyumba za biashara hususani hoteli hazina mikataba ya ukodishwaji wa ardhi jambo ambalo linatajwa kuikosesha mapato…

Read More

Serikali kuendeleza ukaribu na sekta binafsi

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi ni muhimu katika kukuza uwekezaji pamoja na uchumi kupitia nyanja mbalimbali za maendeleo nchini. Katika kuimarisha hilo, Balozi Kombo amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa Jukwaa la Wakurugenzi Watendaji…

Read More

Wizara yafunga shughuli za uvuvi kwa muda Ziwa Ikimba

Bukoba. Wizara ya Mifugo na Uvuvi imefunga shughuli za uvuvi katika Ziwa Ikimba mkoani Kagera kwa kipindi cha miezi sita. Hatua hiyo inalenga kupisha upandikizaji vifaranga vya samaki tani milioni 1.5 ili kuongeza uzalishaji kutoka tani milioni moja hadi kufikia tani milioni 13 za samaki kwa mwaka. Ziwa hilo ni miongoni mwa maziwa 15 madogo…

Read More

Che Malone, Camara kuikosa Dodoma Jiji kesho

Simba SC kesho Ijumaa itaingia uwanjani kukabiliana na Dodoma Jiji huku ikielezwa itaikosa huduma ya kipa wake namba moja, Moussa Camara na beki tegemeo, Che Fondoh Malone. Nyota hao wanatarajiwa kukosekana katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar kutokana na kusumbuliwa na majeraha waliyoyapata Februari 24, 2025 katika sare…

Read More

RIBA YA HUDUMA NDOGO YA FEDHA NI ASILIMIA 3.5 KWA MWEZI

Na. Peter Haule, Rorya Mara, WF Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Mkoani Mara wametakiwa kujua kiwango cha juu cha riba kinachopaswa kutolewa kisheria na vikundi na watoa huduma ndogo za fedha ili kutoingia kwenye mikopo yenye riba kubwa itakayosababisha washindwe kurejesha mikopo. Hayo yameelezwa na Kiongozi wa Timu ya Wataalamu wa Elimu ya…

Read More

Manyerere: Wachezaji walionyesha ubora wao

Baada ya ligi ya kikapu ya daraja la kwanza kumalizika, takwimu zimeonyesha hakuna mchezaji yeyote aliyepewa adhabu ya kumchezea makosa mwenzake ya siyo ya kimchezo (unsportsman). Makosa yasiyo ya kimchezo ni yale mchezaji  anayemshika jezi mwenzake au kumzuia kwa mguu. Kamishina wa Makocha wa Shirikisho la mpira wa kikapu nchini (TBF), Robert Manyerere, amesema endapo…

Read More