
Anwani za makazi milioni 12.8 zafikiwa nchini
Arusha. Serikali imefanikiwa kutambua na kuhakiki taarifa za anwani za makazi milioni 12.8 na kuzisajili kwenye mfumo wa kidigitali wa anwani za makazi (NaPA). Taarifa hizi zinalenga kujenga msingi madhubuti wa utoaji wa huduma za mawasiliano, huduma za Serikali kwa wananchi na utekelezaji wa shughuli za kijamii, kiuchumi na kiutawala. Akizungumza leo Jumanne Januari 7,…