Anwani za makazi milioni 12.8 zafikiwa nchini

Arusha. Serikali imefanikiwa kutambua na kuhakiki taarifa za anwani za makazi milioni 12.8 na kuzisajili kwenye mfumo wa kidigitali wa anwani za makazi (NaPA). Taarifa hizi zinalenga kujenga msingi madhubuti wa utoaji wa huduma za mawasiliano, huduma za Serikali kwa wananchi na utekelezaji wa shughuli za kijamii, kiuchumi na kiutawala. Akizungumza  leo Jumanne Januari 7,…

Read More

Mahakama yaamuru mshtakiwa atoe wapangaji aliowapangisha

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuamuru mshtakiwa Madina Bille, aliyekuwa anakabiliwa na shtaka la kuingia kwa jinai katika nyumba ya Zulekha Abdulwahid, kwenda kuwatoa wapangaji aliowapangisha ndani ya nyumba hiyo mara moja. Pia, Mahakama hiyo imemuachia huru mshtakiwa huyo kwa masharti ya kutokufanya kosa lolote la jinai ndani ya miezi 12, kuanzia…

Read More

Hofu ya kipindupindu yatanda, shule zikifunguliwa

Mbeya/Mpanda. Wakati baadhi ya wananchi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wakionyesha hofu, wakisita kupeleka watoto shule kutokana na mlipuko wa kipindupindu, viongozi na wataalamu wamewatoa wasiwasi. Shule za msingi na sekondari zinatarajiwa kufunguliwa Januari 13, 2025. Taarifa ya Desemba, 2024 ya Wizara ya Afya ilisema mikoa 23 nchini ilikumbwa na kipindupindu tangu mwaka…

Read More

Sababu wanafunzi kufeli masomo ya biashara, amali zatajwa

Dar es Salaam. Wadau wa elimu wameitaka Serikali kuongeza ajira za walimu wa masomo ya amali  ili kufikia lengo la kubadilisha mtalaa. Ongezeko la walimu litasaidia wanafunzi kupata ujuzi stahiki utakaowasaidia kujiajiri watakapomaliza masomo na kupunguza idadi ya wanaofeli masomo hayo katika mitihani ya Taifa ya upimaji. Wametoa maoni hayo wakati ambao matokeo ya mtihani…

Read More

NAIBU WAZIRI WA MAJI AAHIDI NEEMA KIBAHA

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge akisalimiana na Naibu Waziri wa Maji Kundo Mathew Ofisini kwake. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Dawasa Mhandisi Mkama Bwire na Meneja wa Ruwasa Mko wa Pwani Beatrice Kasimbazi. Naibu Waziri wa Maji Mhe.Kundo Mathew katikati kushoto ni Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Rashid Mchatta na kulia ni…

Read More

Josiah anaanza hivi Tanzania Prisons, mastaa wote ndani

Baada ya kuanza kibarua chake, Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah, amesema licha ya ugeni alionao kwenye Ligi Kuu Bara, lakini haoni kitu kipya badala yake anaamini katika uwezo wake. Josiah ameanza kazi hiyo kikosini humo akitokea Geita Gold inayoshiriki Ligi ya Championship, akichukua nafasi ya Mbwana Makata aliyesitishiwa mkataba Desemba 28, 2024 kufuatia…

Read More

Polisi Kenya wakana kuhusika na utekaji

Kenya. Wakati vijana wanne waliokuwa wamedaiwa kutekwa nyara wakiachiliwa katika maeneo tofauti nchini Kenya, polisi wamekana kuwateka au kuwaachia huru. Vijana hao wanne kati ya 29 walioripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana wamepatikana wakiwa hai jana Januari 6, 2025, tovuti za Daily Nation na Tuko zimeripoti. Vijana hao wanaotajwa kuwa wakosoaji wa Serikali ya awamu ya…

Read More