Kocha: Vijana Queens haitayumba BDL

Kocha wa timu ya Vijana Queens,    Kabiola Shomari, amesema kuondoka kwa wachezaji wake, Happy Danford na Tumaini Ndossi   kujiunga na timu ya Tausi Royals, timu yake haitatetereka. Usajili wa timu ya Tausi Royals kwa wachezaji hao kutoka Vijana Queens, ni wa pili kwao, mwaka jana iliwasajili Diana Mwendi, Tukusubira Mwalusamba na Asumpta. Kwa mujibu wa…

Read More

Serikali: Ugonjwa wa Marburg umemalizika Biharamulo

Dar es Salaam.  Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Afya, Jenista Mhagama imetangaza kumalizika kwa mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Marburg katika Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Machi 13, 2025 Mhagama imeeleza kuwa mgonjwa wa mwisho aliyethibitika kuwa na virusi hivyo (MVD) aliripotiwa Januari 28, 2025 hivyo hadi kufikia…

Read More

Tiba ya figo zilizofeli | Mwananchi

Figo ni kiungo muhimu sana mwilini. Mungu ametupa figo mbili moja kulia na nyingine kushoto, ziko tumboni chini ya mbavu. Figo huanza kazi tangu mtoto akiwa tumboni mwa mama yake. Kazi ya figo ni kuchuja damu, kuondoa taka mwili, kudhibiti uwiano wa madini na maji mwilini. Figo pia husaidia mchakato wa kutengemeza damu na kuimarisha…

Read More

Madiwani wapendekeza jimbo la Dodoma Mjini ligawanywe

Dodoma. Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma imependekeza jimbo la Dodoma Mjini kugawanywa na kuwa na majimbo mawili ya uchaguzi kwa ajili ya kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi. Akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani kilichoketi jana Jumatano Machi 12, 2025, Ofisa uchaguzi wa Jiji la Dodoma, Albert Kasoga amesema mgawanyo…

Read More

Chalamila aagiza mama anayeidai Hospitali ya Amana alipwe

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wakazi wa mkoa huo kutokubali kufanya biashara na taasisi yoyote ya Serikali bila kuwa na mkataba na nyaraka rasmi za makabidhiano ya huduma iliyotolewa. Amesema hatua hiyo itaepusha migogoro kati ya wananchi na taasisi za Serikali ambazo wanafanya nazo biashara, kama ilivyotokea…

Read More