Othman atangaza nia kugombea urais Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman ametangaza nia ya kugombea urais wa Zanzibar kwenye uchaguzi mkuu ujao endapo chama chake kitaridhia na kumpa jukumu hilo ili awasaidie Wazanzibari. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amebainisha hayo leo Januari mosi, 2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uamuzi…

Read More

Moto wateketeza mali za wapangaji, Sh3.4 milioni

Moshi. Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vyumba vitatu vya wapangaji katika Mtaa wa Wailesi, Kata ya Soweto, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wakati wakijiandaa kupika chakula cha mchana kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya 2025. Vyumba hivyo vitatu vimeteketea kwa moto leo , Januari Mosi, 2025  ambapo kaya tatu kwa sasa hazina mahali pa kuishi…

Read More

Rita: Ndoa ya aina hii haitambuliki kisheria

Dar es Salaam. Licha ya kufunga ndoa ya dini miaka 10 iliyopita, Jane Elias alijikuta katika sintofahamu baada ya kuambiwa ndoa yake haitambuliki kisheria. Jane ni miongoni mwa wanandoa wengi wanaofunga ndoa katika nyumba za ibada, lakini wengi wao wanapofika kwenye sheria, hujikuta ndoa zao hazitambuliki kutokana na sababu mbalimbali. Jane anasema alifunga ndoa ya…

Read More

Ripoti maelezo ya hali mbaya ya haki za binadamu nchini Ukraine karibu miaka mitatu baada ya uvamizi wa Urusi – Masuala ya Ulimwenguni

Ikijumuisha kipindi cha Septemba hadi Novemba 2024, ripoti hiyo inaeleza mashambulizi makali ya Urusi kwenye maeneo yenye watu wengi, mgomo wa kimakusudi wa miundombinu ya nishati, na jitihada za kuzuia haki za kimsingi. “Nyuma ya kila ukweli na takwimu katika ripoti hii ni hadithi za hasara na mateso ya binadamu, kuonyesha athari mbaya ya vita…

Read More

Ni kazi gani hautakubali kuifanya unapokuwa msomi?

Dar es Salaam. Ni kazi gani hauko tayari kuifanya ukiwa na elimu kuanzia ngazi ya shahada? Majibu ya swali hilo yanaakisi mitazamo ya vijana hasa wasomi, ambao aghalabu hukacha baadhi ya kazi kwa mtazamo kuwa hawastahili kuzifanya kutokana na kiwango chao cha elimu. Kutokana na mtazamo huo, wengi wanajikuta wakikaa bila kazi za kufanya kwa…

Read More

‘Jamii iwakumbue watoto waishio mazingira magumu’

iDar es Salaam. Wakati msimu wa wanafunzi kurudi shuleni ukikaribia, jamii imeaswa kuwakumbuka watoto wanaoshi katika mazingira magumu ili wapate vifaa vya shule kama wanavyopata watoto wengine. Hayo yameelezwa na mfanyabiashara Celine Richard baada ya kuwakabidhi vifaa vya shule watoto hao, waishio katika mazingira magumu leo Manzese Dar es Salaam leo Desemba 31, 2024. Celine…

Read More

Usilojua kuhusu vumbi la Kongwa

Dodoma. Kati ya historia kubwa zilizopo mkoani Dodoma ni pamoja na kimbunga kilichokuwa kinasafirisha vumbi kwa umbali mrefu, maarufu kwa jina la ‘vumbi la Kongwa’. Vumbi hilo lilikuwa linatokea kwa siku nne hadi saba, Oktoba ya kila mwaka ambapo ni kipindi cha kiangazi mkoani Dodoma. Vumbi hilo lilikuwa linasababisha madhara mbalimbali, ikiwemo kuezua mapaa ya…

Read More

Kitongoji cha ajabu, hakina huduma hata moja ya kijamii

Dar/Morogoro. Zikiwa zimesalia siku 11 shule kufunguliwa, zaidi ya watoto 90 wa Kitongoji cha Mbuyuni hawataanza darasa la kwanza kutokana na kukosekana kwa shule ya msingi katika eneo hilo. Siyo hao pekee, bali inaelezwa watoto wa umri wa kuwepo shuleni na watu wazima wengi wao hawajafanikiwa kusoma kutokana na wakazi wa eneo hilo kushindwa kuwaandikisha…

Read More