WAZIRI RIDHIWANI AZINDUA BODI YA WADHAMINI YA NSSF

  *Aitaka Bodi kutekeleza majukumu kwa kuzingatia sheria, sera na miongozo inayotolewa na Serikali *Mkurugenzi Mkuu asema NSSF inatekeleza azma ya Rais Dkt. Samia ya kuongeza wigo wa hifadhi ya jamii kwa kuwafikia wananchi waliojiajiri Na MWANDISHI WETU, Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe….

Read More

Kimbembe cha mikopo kausha damu mitaani

Dar es Salaam. Ndani ya kipindi cha takribani miezi mitatu kumeibuka wimbi la malalamiko kuhusu mikopo umiza maarufu kausha damu, huku baadhi ya viongozi wa serikali za mitaa wakisema mengi yanaibuka baada ya wananchi kushindwa kulipa madeni. Malalamiko hayo kwa mujibu wa wenyeviti wa mitaa, yanatokana na wakopeshaji kuchukua mali za watu wanaoshindwa kulipa mikopo,…

Read More

Wawili wafariki dunia kwa kupigwa na radi Mlimba

Morogoro. Watu wawili wa familia moja wamefariki dunia katika kijiji cha Kalenga kata ya Mofu Halmashauri ya Mlimba baada ya kupigwa na radi wakiwa shamba, huku mmoja akipata mshtuko kutokana na radi hiyo. Akizungumzia tukio hilo diwani wa kata ya Mofu, Graison Mgonela amesema tukio hilo limetokea Machi 13 mwaka huu saa 11 jioni ambapo…

Read More

Ujenzi daraja la Pangani wafikia asilimia 38

Tanga. Ujenzi wa daraja la Pangani linalounganisha barabara ya Tanga-Pangani-Bagamoyo umekamilika kwa asilimia 38 imeelezwa. Mhandisi wa mradi huo, Gladson Yohana amebainisha hayo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu iliyotembelea na kukagua maendeleo ya  mradi huo leo Machi 14, 2025. Amesema ujenzi wa daraja hilo lenye urefu wa mita 525 linalogharimu  Sh88.2…

Read More

Dorothy Semu asimulia walivyozuiwa kwa saa nane Angola

Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu amesema alishtuka baada ya kuona wanatengwa kwa makundi baada ya kuzuiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro jijini Luanda, Angola. Semu, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu walizuiwa na…

Read More

Utekelezaji maazimio changamoto kwa nchi za EAC

Arusha. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Veronica Nduva, amesema ni muhimu kuwa na mfumo madhubuti wa ufuatiliaji na utekelezaji wa maazimio na ahadi zinazotolewa na nchi wanachama ili kuimarisha uwajibikaji na kufanikisha utekelezaji wa ajenda za ujumuishaji wa kanda. Akihutubia mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa Huduma za Umma na Mawaziri…

Read More

Dorothy Semu asimulia walivyouiwa kwa saa nane Angola

Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu amesema alishtuka baada ya kuona wanatengwa kwa makundi baada ya kuzuiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro jijini Luanda, Angola. Semu, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu walizuiwa na…

Read More