TCRA : VYOMBO VYA UTANGAZAJI VITENDE HAKI KWA VYAMA VYOTE VYA SIASA, TUSIWEKE CHUMVI NA UTANI

Meneja wa Kitengo cha Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka Akizungumza katika Mkutano wa Misa Tanzania na Wadau (MISA-TAN – Wadau Summit 2025) Meneja wa Kitengo cha Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Meneja wa Kitengo cha Utangazaji kutoka Mamlaka…

Read More

WASIRA:CCM HAITAKUBALI KUONA MTU YEYOTE ANAVURUGA UMOJA,AMANI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kupitia Makamu Mwenyekiti wake Tanzania Bara Stephen Wasira amesema Chama hicho hakitakuwa tayari kumvumilia mtu yeyote anayetaka kuvuruga Umoja na amani iliyopo nchini. Wasira alitoa kauli hiyo leo Machi 14,2025 alipokuwa akizungumza na wana CCM pamoja na wananchi wilayani Mbozi, Mkoa wa Songwe ambako ameanza ziara ya kikazi…

Read More

Ahoua, Kibu wafunika, Simba ikiifyatua Dodoma jiji

TUSIZOEANE. Ni kama onyo kali vile ilichofanya Simba jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kwa kuweka rekodi ya kibabe huku wakipunguza utofauti wa pointi kati yao na Yanga ambao wanakimbizana nao kwenye vita ya ubingwa. Simba iliyofikisha pointi 57, moja pungufu na ilizonazo Yanga yenye 58 kileleni zote…

Read More

WASIRA APIGILIA MSUMARI KUZUILIWA KWA VIONGOZI WA UPINZANI KUINGIA ANGOLA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira ameeleza kuwa Serikali haiwezi kueleza chochote kuhusu kuzuiliwa kwa viongozi wa upinzani kuingia nchini Angola. Wąsira ameyasema hayo leo Mkoani Songwe alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe ambapo amesema amesoma vyombo Vya…

Read More

MAMIA YA WAFANYABIASHARA WASHIRIKI SEMINA YA KODI MLIMBA

Farida Mangube, Morogoro Wafanyabiashara wa Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero, wamejitokeza kwa wingi kushiriki semina ya elimu ya kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Morogoro ikiwa na lengo la kuwambusha muhinu wa kulipa kodi Akizungumza Katika Semina hiyo Meneja wa TRA Mkoa wa Morogoro, Bw. Sylver Rutagwelera,mesema semina hiyo ni…

Read More

DC KIBAHA AFUNGUA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI DAWASA

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Nickson Simon amefungua kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA). Akifungua kikao hicho katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere Wilayani Kibaha, Mhe Nickson amewapongeza wajumbe wa baraza hilo kwa kazi nzuri wanayoifanya inayopelekea kutoa huduma bora kwa wananchi….

Read More