Nini hatma ya masharti magumu ya Rais Putin kwa Ukraine
Rais wa Russia, Vladimir Putin, ameeleza kuwa anakubaliana na wazo la kusitisha mapigano nchini Ukraine, lakini ameweka masharti magumu kwa ajili ya amani ya kudumu. Hii inakuja baada ya Ukraine kukubali mpango wa kusitisha mapigano wa siku 30 kufuatia mazungumzo na Marekani. Hata hivyo, masharti aliyoweka Putin yameleta utata mkubwa, huku Rais wa Ukraine, Volodymyr…