Mrithi wa Kinana kujulikana Januari 19 Dodoma

Dodoma. Mrithi wa Abdulrahman Kinana ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi ya Makamu Mwenyeiti-Bara atajulikana kati ya Januari 18-19, 2025 kwenye mkutano mkuu maalumu utakaofanyika jijini Dodoma. Nafasi hiyo ya Makamu Mwenyekiti imekuwa wazi tangu Julai 28, 2024 baada ya Kinana kuandika barua ya kuomba kujiuzulu wadhifa huo kwenda kwa Mwenyekiti wake, Rais Samia…

Read More

SITA KIZIMBANI KWA MASHTAKA 68 IKIWEMO KUISABABISHIA TRA HASARA YA ZAIDI YA BILIONI 2

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv ‎‎WAFANYABIASHARA sita wa jijjni Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni (Kinondoni), wakikabiliwa na mashitaka 68 yakiwamo ya kupotosha mfumo na kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya Sh bilioni 2.1.‎‎katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakama hapo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Daisy Makakala…

Read More

Mzee adaiwa kujinyonga kisa msongo wa mawazo

Shinyanga. Joseph Tuju (73) mkazi wa Mtaa wa Azimio, Kata ya Lubaga, Halmashauri Manispaa ya Shinyanga amefariki dunia kwa madai ya kujinyonga kwa kutumia shuka akiwa ndani ya nyumba yake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema, “taarifa hizi nimepokea Januari 6, 2025 saa 12 jioni na kwa…

Read More