Mambo matatu yanayomsubiri Rais mpya Ghana

Dar es Salaam. John Mahama ameapishwa jana Jumanne, Januari 7, 2025 kuwa Rais wa awamu ya tatu, huku taifa hilo lilikabiliwa na changamoto ya uchumi. Rais Muhama katika kampeni zake alijinadi kukabiliana na anguko la kiuchumi, rushwa na ukosefu wa ajira nchini humo. Kiongozi huyo mwenye miaka 65, amewahi kuwa Rais wa nchi hiyo kwa…

Read More

Trump aibua mapya sakata la Marekani kuitwaa Canada

Washington. Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump ni kama hajakata tamaa kuhusiana na lake kuifanya Canada kuwa sehemu ya Marekani baada ya kuchapisha picha ikionyesha ramani ya Canada ikionekana kuwa sehemu ya Marekani. Wakati Trump akichapisha ramani hiyo, mamlaka nchini Canada zimemjia juu na kumjibu kuwa lengo hilo halitotimia katika ulimwengu wa sasa. Trump amechapisha…

Read More

Mauzo ya Kutojali na Kutojali kwa Serikali Yanaumiza Telangana Weavers — Masuala ya Ulimwenguni

Kitambaa cha pamba cha Siddipet kikifumwa. Credit: Rina Mukherji/IPS na Rina Mukherji (siddipet, pochampally & koyalaguddem, india) Jumatano, Januari 08, 2025 Inter Press Service SIDDIPET, POCHAMPALLY & KOYALAGUDDEM, India, Jan 08 (IPS) – Jimbo la kusini mwa India la Telangana daima limekuwa nyumbani kwa pamba na hariri maridadi. Lakini katika miaka ya hivi karibuni, ukosefu…

Read More

Mvua yaacha kilio Kahama, makazi yaharibiwa

Kahama. Mvua iliyonyesha wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga imeleta athari katika baadhi ya maeneo, ikijaza mitaro ya majitaka na kufurika katika makazi ya watu. Wakizungumza na Mwananchi jana Januari 7, 2025, baadhi ya wananchi wa Kata ya Mulanga na Majengo wilayani hapa wamesema maji hayo yamewakosesha makazi, kuharibu mali na kuhatarisha afya zao. Kuruthumu Dafa…

Read More

TARURA RUVUMA YAKEMEA UTUPAJI TAKA KWENYE MIFEREJI NA UCHIMBAJI MCHANGA KWENYE MADARAJA

Wakala wa barabara za Mijini na vijijini Mkoa wa Ruvuma imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu uharibifu wa miundombinu ya barabara, huku ikikemea vitendo vya utupaji taka kwenye mifereji na uchimbaji mchanga kwenye madaraja, kwani vitendo hivi vinarudisha nyuma juhudi za maendeleo. Akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa TARURA Mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Silvester Chinengo,…

Read More