Sarafu mtandao bado ni pasua kichwa kwa mifumo ya kibenki

Benki Kuu mbalimbali duniani zimekuwa katika hatua za kutafuta suluhu na mbadala kuhusu matumizi ya sarafu mtandao (Cryptocurrency) katika uchumi. Hali kadhalika kwa Benki Kuu ya Tanzania BOT ambayo pia imekua katika hatua mbalimbali za kutafiti undani wa kadhia hiyo mpya katika mfumo wa fedha ambayo bado ni jambo linalotatiza katika nchi mbalimbali duniani. Sarafu…

Read More

Namna bora ya kukadiria mtaji wa bishara yako

Biashara ni nguzo muhimu ya maisha kwa wengi, hasa wafanyabiashara wadogo wanaotegemea juhudi zao za kila siku ili kujenga maisha bora. Ili kuanzisha na kuendesha biashara kwa ufanisi, mtaji ndio msingi muhimu. Mtaji unaweza kuwa ni fedha au rasilimali zinazohitajika kuanzisha na kuendesha shughuli za kibiashara. Kujua jinsi ya kukadiria mtaji wa biashara yako ili…

Read More

Mfumo wa kibinadamu katika kuvunja hatua kama kupunguzwa kwa fedha kulazimisha uchaguzi wa maisha-au-kifo-maswala ya ulimwengu

Tom Fletcher, Katibu Mkuu wa Secretary-kwa Masuala ya Kibinadamualiwaambia waandishi wa habari katika mkutano huo huko New York kwamba shida ya sasa ilikuwa changamoto kali zaidi kwa kazi ya kimataifa ya kibinadamu tangu Vita vya Kidunia vya pili. “Tayari tulikuwa tumezidiwa, chini ya rasilimali na kwa kawaida, na mwaka jana tukiwa mwaka mbaya zaidi kwenye…

Read More

Hivi hapa vichocheo vya magonjwa ya figo, gharama tatizo

Dar es Salaam. Licha ya uzito uliozidi, matumizi ya sigara na pombe kali kuwa vichocheo vya magonjwa sugu ya figo, wataalamu wameonya unywaji holela wa dawa hasa zile zisizothibitishwa na mamlaka zinachangia kwa kasi tatizo hilo. Wakati dunia ikiadhimisha siku ya figo leo Machi 13, 2025, wataalamu wa afya wameeleza hatari zinazoweza kusababisha maradhi ya…

Read More

Tanzania ilivyojipanga 2G, 3G zikielekea ukomo

Kufutwa kwa teknolojia ya mitandao ya 2G na 3G ni miongoni mwa mwambo yanayozungumzwa sasa na wataalamu wa teknolojia za mawasiliano hususani katika mataifa yaliyoendelea. Hata hivyo, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ikiwemo Tanzania habari hiyo haizungumzwi sana kutokana na utegemezi mkubwa wa teknolojia hiyo, gharama kati ya watoa huduma na watumiaji, pamoja na…

Read More

Mpango mpya wa Ufanisi wa Umoja wa Mataifa unalenga mabadiliko ya kimuundo kwa shughuli – maswala ya ulimwengu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres wakati wa uzinduzi wa mpango wa UN80. Mikopo: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Machi 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Mar 12 (IPS) – Mkuu wa Umoja wa Mataifa alitangaza Jumatano (Machi 12) mpango mpya ambao unalenga kutathmini maeneo…

Read More

Hizi hapa silaha tatu za Hamdi Yanga

KIKOSI cha Yanga jana kilikuwa uwanjani kuvaana na Coastal Union katika mechi ya hatua ya 32 Bora ya Kombe la Shirikisho, lakini mapema kocha mkuu wa timu hiyo, Miloud Hamdi aliweka wazi silaha tatu zinazombeba katika mechi mbalimbali tangu ajiunge na vijana wa Jangwani. Hamdi alijiunga na Yanga Februari 5 mwaka huu, amewataja viungo wakabaji…

Read More

Wadau waeleza chanzo, suluhu ya mikopo kashausha damu

Dar es Salaam. Wakati wimbi la mikopo kausha damu likiendelea kutawala nchini, wadau wa masuala ya uchumi wameshauri jitihada za makusudi zinapaswa kuchukuliwa ikiwemo elimu ya mikopo ili kuwanusuru wananchi wanaoumizwa. Wadau hao wanatoa ushauri huo kipindi ambacho Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekwishabainisha mwarobaini unaozuia mkopeshaji kuingia kwenye namba za simu za mteja. Aidha,…

Read More