WADAU WANAKUJA NA MIKAKATI YA KUHAMASISHA WASICHANA NA WANAWAKE WENYE ULEMAVU KUSHIRIKI MICHEZO

Na Nihifadhi Abdulla KATIKA jamii nyingi, wanawake wenye ulemavu wanakumbwa na changamoto nyingi zinazowazuia kushiriki katika michezo. Pamoja na uwepo wa mikataba ya kimataifa kuhusu haki za binadamu, bado kuna uelewa mdogo kuhusu nafasi ya wanawake wenye ulemavu katika sekta ya michezo. Miongoni mwa changamoto kubwa zinazotajwa kuathiri ushiriki wao ni mitazamo potofu ya jamii…

Read More

Mikakati kuimarisha kilimo biashara Zanzibar

Unguja. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar imesema itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji ili kuimarisha kilimo cha biashara visiwani humo. Hayo yamesemwa leo Machi 12, 2025 na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Ali Khamis Juma wakati wa utiaji saini wa makubaliano ya uanzishwaji wa mradi wa kuimarisha kilimo biashara nchini na kampuni ya…

Read More

KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MINNE TRA IMEFUKUZA KAZI WATUMISHI 14, SITA WAMEPUNGUZIWA MSHAHARA NA KUSHUSHWA VYEO

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuimarisha weledi na uadilifu wa watumishi wa taasisi hiyo ambapo katika kipindi cha miaka minne imefukuza kazi watumishi 14 na kushusha mshahara watumishi 6 na kushushwa cheo na kupunguziwa mshahara watumishi 12 huku watumishi 22 wakipewa barua za onyo. Kauli hiyo imetolewa na Kamishina…

Read More

135,027 waomba ajira TRA, kuajiriwa kabla ya Juni

Dodoma. Watu 135,027 wameomba ajira katika nafasi 1,596 zilizotangazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Februari 6, mwaka 2025 TRA ilitangaza nafasi za ajira katika idara za mapato ya ndani, forodha na ushuru, usimamizi na utawala wa raslimali watu. Nyingine ni utafiti na mipango, fedha, ukaguzi wa ndani, mambo ya ndani na idara ya viatarishi…

Read More

Wataalamu waonya matumizi mabaya ya viti mwendo

Dar es Salaam. Matumizi ya viti mwendo visivyo sahihi yanatajwa kusababisha matatizo makubwa ya kiafya kwa watu wenye changamoto za ulemavu wa miguu, wataalamu wameonya. Viti mwendo vinachukuliwa kuwa msaada muhimu kwa watu wenye changamoto za ulemavu wa miguu. Hata hivyo, iwapo havitachaguliwa ipasavyo, vinaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya badala ya kusaidia hali ya…

Read More

Ujenzi wa uwanja wa ndege Msalato wafikia asilimia 85

Dodoma. Ujenzi wa Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Msalato jijini Dodoma umefikia asilimia 85 kwa njia za kurukia ndege, huku majengo ya abiria yakifikia asilimia 51. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), Augustino Vuma ameyasema hayo leo Jumatano, Machi 12, 2025 baada ya kamati yake kutembelea…

Read More

Safari ya benki ilivyomuacha na ulemavu wa kudumu

Mufindi.  Aprili 21, 2019 inabaki kwenye kumbukumbu za mwalimu Silvester Lyuvale, siku aliyopata ajali iliyomsababishia ulemavu wa kudumu. Lyuvale (52), mwalimu wa Shule ya Msingi Kinyanambo katika Halmashauri ya Mji Mafinga, wilayani Mufindi, mkoani Iringa baada ya ajali alikatwa miguu yote miwili. Alipopata ajali hiyo alikuwa Ofisa Elimu Kata ya Wambi. Akizungumza na Mwananchi, anasema…

Read More