
TAAWANU yazindua rasmi zoezi la ugawaji bure wa vitanda elfu 60 kwenye hospitali nchini Tanzania
Taasisi ya Taawanu Islamic Foundation chini ya Mkurugenzi wake wa Kimataifa Hajjat Zahra Dattan (zaradattani on Instagram) imezindua rasmi zoezi la ugawaji wa vitanda kwa hospitali mbalimbali hapa Nchini Tanzania lengo likiwa ni kusaidia wananchi wanaoenda maeneo hayo kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Zoezi hilo limezinduliwa katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera ambapo limehudhuliwa na…