PIC yaridhishwa na utekelezaji wa mradi wa HEET Udom

Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imesema imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maabara za sayansi na madarasa ya masomo ya kada ya ardhi kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom). Mradi huo utakaowezesha kupanua wigo wa udahili wa wanafunzi kwenye chuo hicho, unatekelezwa chini ya Mradi…

Read More

Songamnara, Kilwa kisiwani kinara kuvutia watalii

Kilwa. Mamlaka ya wanyamapori Tanzania (Tawa) imeyataja maeneo ya Songamnara na Kilwa kisiwani kuwa kinara kwa kutembelewa na watalii mkoani Lindi. Hayo yamesemwa Machi 12, 2025 na Kamishna Msaidizi wa uhifadhi Kanda ya Kusini Mashariki, Hadija Malongo akizungumza wakati wa kuwapokea watalii katika eneo la Songamnara. Hadija amesema kuwa hadi sasa Tawa wameshapokea watalii zaidi…

Read More

Mchengerwa ampa siku 60 mkandarasi kumaliza ujenzi

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, amempa miezi miwili (sawa na siku 60) mkandarasi wa jengo la Tamisemi kukamilisha ujenzi baada ya kuchelewa kwa zaidi ya mwaka mmoja. Ujenzi wa jengo hilo lenye ghorofa sita, litakalokuwa na uwezo wa kuchukua wafanyakazi 600, ulianza…

Read More

Tahadhari kukabili Mpox, Serikali yatoa muongozo

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeeleza mikakati inayochukua kukabiliana na ugonjwa wa homa ya nyani (Mpox) ikiwa ni pamoja na ufuatiliaji wa magonjwa katika vituo vya afya na upimaji wasafiri wanaoingia kwenye visiwa hivyo. Machi 10,2025 Wizara ya Afya Tanzania Bara ilithibitisha uwapo wa wagonjwa wawili wenye maambukizi ya ugonjwa huo. Hata hivyo,…

Read More

Presha juu ugawaji majimbo | Mwananchi

Dar/ mikoani. Joto la Uchaguzi Mkuu mwaka huu limezidi kupanda na kukoleza maombi ya kugawa maeneo ya uchaguzi ambayo hadi sasa yameyagusa takriban majimbo 14. Mchakato huo ni kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, inayoipa mamlaka Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kugawa mipaka ya majimbo ya uchaguzi. Presha hiyo ilianza kupanda ndani ya vyama, hasa…

Read More

ACT WAZALENDO WAPEWA ONYO NA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

Baraza la vyama vya siasa nchini limekemea vikali kitendo cha Chama cha ACT WAZALENDO kuchapisha na kusambanza kipeperushi kinachobeza kazi zinazofanywa na baraza hilo huku kikisusia kushiriki kikao kilichoketi machi 12 na 13 mkoani Morogoro. Hayo yameelezwa na wajumbe wa baraza hilo wakati wa kikao cha kawaida cha baraza la vyama vya siasa kilichoketi kwa…

Read More

Kiongozi wa CCM kata auawa na wasiojulikana

Ileje. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Chitete wilayani Ileje Mkoa wa Songwe, Halisoni Mwampashi (62) amefariki dunia baada ya kuuawa na watu wasiojulikana. Tukio hilo limetokea saa tatu usiku wa jana Jumatano, Machi 12, 2025 katika Kijiji cha Ntembo wakati Mwampashi anatoka kwenye virabu vilivyopo kijijini hapo maarufu…

Read More