
Mahakama yaamuru mshtakiwa atoe wapangaji aliowapangisha
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuamuru mshtakiwa Madina Bille, aliyekuwa anakabiliwa na shtaka la kuingia kwa jinai katika nyumba ya Zulekha Abdulwahid, kwenda kuwatoa wapangaji aliowapangisha ndani ya nyumba hiyo mara moja. Pia, Mahakama hiyo imemuachia huru mshtakiwa huyo kwa masharti ya kutokufanya kosa lolote la jinai ndani ya miezi 12, kuanzia…