Madereva wenye leseni, hawana vyeti kikaangoni

Moshi. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Kilimanjaro, limeendelea na operesheni maalumu ya kuhakiki leseni za madereva wa magari ya abiria. Jeshi hilo limesema madereva watakaokutwa hawana sifa za kuendesha magari hayo wataondolewa barabarani. Jana, Januari 6, 2025 baadhi ya magari madogo aina ya Toyota Noah yanayobeba abiria kati ya Moshi Mjini…

Read More

Kagera Sugar yafuata mido Kenya

KLABU ya Kagera Sugar, imefikia makubaliano ya awali na kiungo wa Tusker FC, Saphan Siwa Oyugi, kwa ajili ya kumsajili kama mchezaji huru. Hata hivyo, ingawa taarifa za awali zimesambaa kwamba usajili huu umekamilika, bado haijathibitishwa rasmi na klabu ya Kagera Sugar au Tusker FC. Kwa mujibu wa vyanzo, pande zote mbili zimefikia makubaliano ya…

Read More

Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani limelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya msafara wa misaada – Global Issues

The WFP ilitoa taarifa siku ya Jumatatu kulaani shambulio hilo ikisisitiza kwamba magari yake yalikuwa “yamewekwa alama”. “Angalau risasi 16” zilipiga msafara huo ya magari matatu yaliyokuwa yamebeba wafanyakazi wanane ambayo yaliteketea karibu na kituo cha ukaguzi cha Wadi Gaza. “Kwa bahati nzuri, hakuna wafanyikazi waliojeruhiwa katika tukio hili la kutisha,” shirika hilo liliongeza. Vibali…

Read More

Maagizo ya Rais Samia, Dk Mwinyi uwekezaji visiwani

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amefungua hoteli akiunga mkono kauli ya Rais Dk Hussein Mwinyi wa Zanzibar, kwamba wanaochelewesha uwekezaji katika visiwa baada ya miezi mitatu wavirudishe serikalini watafutwe wawekezaji wengine. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Januari 7, 2025 alipokuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mradi wa Hoteli ya Bawe Island by…

Read More