
Kinda Mbongo anakiwasha tu Australia
BEKI wa kulia Mtanzania, Kealey Adamson anayekipiga katika timu ya Macarthur ya Australia amekuwa mhimili mkubwa wa timu hiyo kwenye eneo la ulinzi. Kinda huyo mwenye miaka 20 ni Mtanzania mwenye asili ya Australia na aliwahi kucheza klabu moja na Charles M’mombwa ambaye amekuwa akiitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’. Timu hiyo…