Anasa zamponza Rais mstaafu Georgia, atupwa jela miaka tisa

Thibilisi. Rais wa zamani wa Georgia, Mikhail Saakashvili amehukumiwa kifungo cha miaka tisa jela kwa ubadhirifu wa mali ya Umma. Mamlaka za Georgia zilimkamata Saakashvili Oktoba 2021 alipoingia kwa siri nchini humo akitokea uhamishoni Ukraine wakati wa uchaguzi na kumshutumu rais huyo wa zamani kwa matumizi mabaya ya madaraka, ubadhirifu wa fedha na makosa mengine…

Read More

Ushindi wampa jeuri Kaseja | Mwanaspoti

USHINDI mtamu buana. Baada ya kuiongoza Kagera Sugar katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho na zote kuibuka na ushindi, kocha mkuu wa Kagera, Juma Kaseka ametamba kwamba ameanza kuona mwanga na morali imeongezeka zaidi kwa wachezaji wa timu hiyo. Kaseja alikabidhiwa mikoba iliyoachwa wazi na Melis Medo aliyetimkia Singida Black…

Read More

Sura mpya kuongoza kurugenzi za Chadema

Dar es Salaam Ni sura mpya katika nafasi za ukurugenzi ndani ya Chadema, ndivyo unavyoweza kusema baada ya Kamati Kuu ya chama hicho iliyojifungia kwa siku mbili jijini Dar es Salaam kufanya uteuzi. Kamati Kuu chini ya uenyekiti wa Tundu Lissu ilikutana katika kikao chake Machi 10-11, 2025, makao makuu ya chama hicho, Mikocheni jijini…

Read More

Familia za Syria zilitekelezwa, Duterte alikamatwa kwa dhamana ya ICC, Kuanguka kwa Huduma ya Afya ya Sudan – Maswala ya Ulimwenguni

Akiongea huko Geneva, Ohchr Msemaji wa Thameen Al-Kheetan alisema kuwa watu 111 wamethibitishwa kuwa wamekufa hadi sasa. Ripoti za vyombo vya habari zinaonyesha idadi ya vifo vya kweli inaweza kuwa karibu na 1,000 baada ya vikosi vya usalama kuungana na viongozi wa walezi wa Syria wanaodaiwa kulenga jamii katika maeneo ya pwani ambayo inawakilisha nguvu…

Read More

Msigwa awaita CAF wakague uwanja wa Benjamin Mkapa

Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (CAF) kutoa tangazo la kuufungia Uwanja wa Michezo wa Benjamin Mkapa, Serikali imesema walitakiwa kuwasiliana nao kabla ya kuufungia kwa sababu ulishakarabatiwa. Akizungumza leo Machi 12,2025, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,Gerson  Msigwa amethibitisha kupokelewa kwa tangazo la kuufungia uwanja huo leo asubuhi….

Read More

Huu ndiyo mwelekeo mpya wa TLP ya Lyimo

Ni zama mpya kwa chama cha TLP baada kuingia madarakani kwa mwenyekiti mpya, Richard Lyimo, mwenye maono, fikra, ndoto na matamanio tofauti na ya mtangulizi wake, Augustino Mrema ambaye alikiongoza chama hicho kwa zaidi ya miongo miwili na nusu. Lyimo alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa TLP, Februari 2, 2025, katika uchaguzi uliotawaliwa na migogoro hadi kufikia…

Read More