Alhamisi Yako ni Murua Ukibeti na Meridianbet – Global Publishers
Mechi za Europa League hatua ya mtoani zinaendelea leo ambapo mechi kibao zitakuwa dimbani kuanzia saa 2 usiku kuhakikisha zinapata ushindi ili kusonga hatua ya Robo Fainali. Nani ni nani kusonga mbele? Glasgow Rangers atakipiga haswa dhidi ya Fenerbahce ya kule Uturuki huku kila timu hii leo ikihitaji ushindi ili kusonga hatua ya robo fainali…