
Mkuu wa shule awafungia geti wanafunzi wasiolipa ada, Polisi waingilia kati
Uamuzi wa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya St Annes’s Girls nchini Kenya kuwafungia wanafunzi walioripoti shuleni bila kulipa ada umechukua sura mpya baada ya wananchi kuhoji utaratibu huo huku wanaharakati na polisi wakiingilia kati. Mkuu huyo wa shule, Veronika Muli jana Jumanne Januari 8, 2025 aliwazuia wanafunzi wa kike ambao walikuwa wamewasili shuleni hapo…