JKT yawatumia ujumbe wanaoghushi vyeti vyao

Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewatahadharisha vijana na watu wanaojihusisha na kughushi vyeti vya kuhitimu mafunzo yanayotolewa na jeshi hilo, kuacha kufanya hivyo na watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria. JKT imekuwa ikitoa mafunzo kwa kundi la lazima (mujibu wa sheria), ambayo hutolewa kwa muda wa miezi mitatu na kundi la kujitolea ambapo vijana…

Read More

Wachimbaji wadogo wampa Tano Rais Samia

· Umeme mgodini ‘kicheko’ · Uzalishaji waongezeka 70% WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Dhahabu wa Basia uliopo kijiji cha Mwanubi Wilaya ya Shinyanga Vijijini wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapelekea huduma ya umeme katika mgodi huo. Akizungumza Mwenyekiti wa Mabroka Mkoa wa Shinyanga (CHAMATA) Masanja…

Read More

Namna bora ya kukadiria mtaji wa biashara yako

Biashara ni nguzo muhimu ya maisha kwa wengi, hasa wafanyabiashara wadogo wanaotegemea juhudi zao za kila siku ili kujenga maisha bora. Ili kuanzisha na kuendesha biashara kwa ufanisi, mtaji ndio msingi muhimu. Mtaji unaweza kuwa ni fedha au rasilimali zinazohitajika kuanzisha na kuendesha shughuli za kibiashara. Kujua jinsi ya kukadiria mtaji wa biashara yako ili…

Read More

Majina walimu wapya walioajiriwa serikalini haya hapa

Dar es Salaam. Serikali imewaita kazini walimu wapya 319 wa fani mbalimbali ambapo halmashauri saba zimenufaika na ingizo hilo jipya la walimu. Taarifa ya kuitwa kazini kwa walimu hao imetolewa jana Machi 12, 2025 na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. “Katibu wa Sekretarieti ya Ajira anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi…

Read More

SEforALL KUIMARISHA USHIRIKIANO UPATIKANAJI NISHATI ENDELEVU

📌  Dkt. Biteko asema Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda endelevu 📌  Rais wa Sierra Leone asema ukombozi wa maeneo ya vijijini ni muhimu kufikia maendeleo 📌  Waziri Mkuu wa Barbados apendekeza ushirikiano wa kimataifa kumaliza changamoto  za nishati Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Viongozi mbalimbali wanaoshiriki mkutano wa kimataifa kuhusu matumizi…

Read More