JKT yawatumia ujumbe wanaoghushi vyeti vyao
Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewatahadharisha vijana na watu wanaojihusisha na kughushi vyeti vya kuhitimu mafunzo yanayotolewa na jeshi hilo, kuacha kufanya hivyo na watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria. JKT imekuwa ikitoa mafunzo kwa kundi la lazima (mujibu wa sheria), ambayo hutolewa kwa muda wa miezi mitatu na kundi la kujitolea ambapo vijana…