Faili zima la winga mpya Mcongo wa Yanga hili hapa

WAKATI mabosi wa Yanga wakiwa mezani kumalizana na mshambuliaji anayemudu kucheza kama winga, Jonathan Ikangalombo, kocha wa zamani wa AS Vita anayotoka nyota huyo wa DR Congo, amefunguka juu ya makali ya mchezaji huyo akisema mabingwa wa Tanzania wamepata mtu wa kutengeneza mabao na kufunga. Kocha Raoul Shungu, aliyewahi kuzinoa Yanga na AS Vita kwa…

Read More

Kocha Bravos: Simba? Tatizo ni Ahoua

KIKOSI cha Simba kimeondoka alfajiri ya leo kwenda Angola kuwahi pambano la raundi ya tano la Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos do Maquis, huku kocha wa wenyeji wa mchezo huo utakaopigwa Jumapili akifichua Wekundu hao wamewatia ubaridi kwa namba walizonazo, lakini wakitishwa zaidi na nyota mmoja matata. Simba iliyopo nafasi ya pili katika…

Read More

Chama karudi, taabu iko palepale

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Clatous Chama aliyekuwa nje akiuguza majeraha, amerudi na alfajiri ya leo ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa kwenye msafara wa timu hiyo ulioenda Mauritania kuwahi pambano la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal, huku kocha Sead Ramovic akiacha wachezaji watatu jijini Dar es Salaam. Yanga itarudiana na Al Hilal nchini…

Read More

DKT. NCHEMBA AMUAGA BALOZI WA JAPAN NCHINI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb)(kulia), akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania aliyemaliza muda wake, Mhe.Yasushi Misawa, baada ya kumaliza mazungumzo yao katika Ofisi za Hazina (Treasury Square), jijini Dodoma, ambapo Mhe. Dkt. Nchemba alimhakikishia Balozi huyo kuwa Tanzania na Japan zitaendelea kuimarisha uhusiano wake wa kiuchumi na kijamii kwa faida…

Read More

TIMU 120 KUSHIRIKI KOMBE LA VUNJABEI

NA DENIS MLOWE IRINGA JUMLA ya timu 120 zinatarajiwa kushiriki mashindano ya soka yanayojulikana kwa jina la Vunjabei Cup 2025 yatakayozinduliwa rasmi Januari 11 mwaka huu katika viwanja tofauti. Akizungumza na wanahabari, Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Vunjabei Fadhil Ngajilo alisema kuwa awali yalifahamika kama Ngajilo Cup, sasa yameboreshwa kwa kiwango kikubwa, ambapo zawadi…

Read More

DKT NCHEMBA AWAALIKA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN

Na Benny Mwaipaja, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ametoa wito kwa Kampuni za Japan kuwekeza nchini Tanzania ili kutumia fursa zilizopo katika sekta mbalimbali za uzalishaji kwa faida ya pande zote mbili. Dkt. Nchemba ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania aliyemaliza muda wake,…

Read More

Ujenzi daraja lililovunjika Same wafikia asilimia 95

Moshi. Ujenzi wa Daraja la Mpirani lililovunjika na kusababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara katika Barabara Kuu ya Same-Mkomazi, Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro umefikia asilimia 95. Daraja hilo ambalo lipo Kata ya Maore lilivunjika Januari 2, 2025 mwaka huu baada ya nguzo zilizokuwa zimelishikilia kuathiriwa na mafuriko kufuatia mvua zilizonyesha Desemba 20, 2024. Kuvunjika…

Read More