Mpango mpya wa Ufanisi wa Umoja wa Mataifa unalenga mabadiliko ya kimuundo kwa shughuli – maswala ya ulimwengu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres wakati wa uzinduzi wa mpango wa UN80. Mikopo: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Machi 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Mar 12 (IPS) – Mkuu wa Umoja wa Mataifa alitangaza Jumatano (Machi 12) mpango mpya ambao unalenga kutathmini maeneo…

Read More

Hizi hapa silaha tatu za Hamdi Yanga

KIKOSI cha Yanga jana kilikuwa uwanjani kuvaana na Coastal Union katika mechi ya hatua ya 32 Bora ya Kombe la Shirikisho, lakini mapema kocha mkuu wa timu hiyo, Miloud Hamdi aliweka wazi silaha tatu zinazombeba katika mechi mbalimbali tangu ajiunge na vijana wa Jangwani. Hamdi alijiunga na Yanga Februari 5 mwaka huu, amewataja viungo wakabaji…

Read More

Wadau waeleza chanzo, suluhu ya mikopo kashausha damu

Dar es Salaam. Wakati wimbi la mikopo kausha damu likiendelea kutawala nchini, wadau wa masuala ya uchumi wameshauri jitihada za makusudi zinapaswa kuchukuliwa ikiwemo elimu ya mikopo ili kuwanusuru wananchi wanaoumizwa. Wadau hao wanatoa ushauri huo kipindi ambacho Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekwishabainisha mwarobaini unaozuia mkopeshaji kuingia kwenye namba za simu za mteja. Aidha,…

Read More

Kada wa CCM ashikiliwa na Polisi Tanga

Tanga. Polisi Mkoa wa Tanga limesema linamshikilia kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani humo, Swahibu Mwanyoka kutokana na tuhuma zilizoripotiwa. Katika taarifa iliyotolewa na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi  leo Jumatano Machi 12, 2025 imeeleza uchunguzi unaendelea ili hatua stahiki zichukuliwe kwa mujibu wa sheria. “Jeshi la Polisi Mkoa…

Read More

Kariakoo saa 24 yasuasua, kamera na taa vikitajwa

Dar es Salaam. Wakati zikiwa zimepita siku 12 tangu kuanza kwa biashara saa 24 eneo la Kariakoo, bado ufanyaji biashara usiku unasuasua, huku usalama ukitajwa kuwa ndiyo sababu. Ufanyaji biashara saa 24 ulizinduliwa rasmi Februari 25 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, katika hafla iliyofanyika Mtaa wa Mkunguni na Swahili, Kata…

Read More

Profesa Assad, Mhadhiri UDSM wawapiga darasa vigogo Chadema

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwemo wajumbe wa kamati kuu watajifungia kwa siku mbili kupigwa darasa la uongozi. Mafunzo hayo kwa viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu yameanza leo Jumatano, Machi 12, 2025 makao makuu ya chama hicho, Mikocheni jijini Dar es Salaam. Walengwa wa mafunzo hayo…

Read More