Walioshtakiwa kwa tuhuma za mauaji ya msimamizi wa mirathi, mkewe waachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, imewaachia huru watu 10 wakiwamo wa familia moja waliokuwa wakishtakiwa kwa kesi ya mauaji ya wanandoa. Mauaji hayo yanadaiwa kusababishwa na mgogoro wa muda mrefu wa mirathi kuhusu shamba la familia la ekari 400. Waliokuwa wakishtakiwa ni Ernests Nyororo, Zanzibar Madegeleki, Lucas Madegeleki, Lushingi Madegeleki, Kesi Madegeleki, Simon…

Read More

WANAWAKE WATAWALA PROMOSHENI YA SANTA MIZAWADI KUTOKA AIRTEL

Meneja Mauzo kwa wafanyabiasha wadogo wakati na wakubwa wa Airtel Money, Janeth Kwilasa akizungumza na Waandishi wa habari kuhusiana na wakati wa promosheni ya Santa Mizawadi iliyechezeshwa leo Januari 07, 2025 jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Ubunifu kutoka Airtel, Husein Simba. Na Kulia ni Muwakilishi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha, Elibariki Sengsenga….

Read More

Kocha Zanzibar Heroes alia na ushambuliaji

KITENDO cha kufungwa bao 1-0 dhidi ya Burkina Faso, kimeonekana kumkera Kocha wa Zanzibar Heroes, Ali Bakar Ngazija. Zanzibar Heroes imepokea kipigo hicho juzi katika mchezo wao wa pili wa michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 inayofanyika Uwanja wa Gombani, Pemba. Katika mchezo huo, bao la Burkina Faso lilifungwa na mshambuliaji Abubar Toure dakika ya…

Read More

Mrithi wa Kinana kujulikana Januari 19 Dodoma

Dodoma. Mrithi wa Abdulrahman Kinana ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi ya Makamu Mwenyeiti-Bara atajulikana kati ya Januari 18-19, 2025 kwenye mkutano mkuu maalumu utakaofanyika jijini Dodoma. Nafasi hiyo ya Makamu Mwenyekiti imekuwa wazi tangu Julai 28, 2024 baada ya Kinana kuandika barua ya kuomba kujiuzulu wadhifa huo kwenda kwa Mwenyekiti wake, Rais Samia…

Read More