
Poland kuonyesha uthabiti wake inapoongoza Umoja wa Ulaya – DW – 04.01.2025
Kuanzia Januari 1, 2025, Hungary iliikabidhi Poland kijiti cha urais wa kupokezana wa Umoja wa Ulaya, na hivyo kuhitimisha miezi sita ya msukosuko ndani ya umoja huo. Hayo ni wakati mataifa mawili yenye uchumi mkubwa barani Ulaya ya Ujerumani na Ufaransa yakikabiliwa na migogoro ya kisiasa. Badala ya kuwa mpatanishi asiyeegemea upande wowote, Waziri Mkuu…