Kikosi kazi NaCoNGO chazinduliwa – MICHUZI BLOG

BARAZA la Taifa la Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali(NaCoNGO), limezindua kikosi kazi cha kitaifa chenye wajumbe 14 wanaotoka katika makundi ya wawakilishi mbalimbali kwa ajili ya kukusanya maoni ya wadau pamoja na kufanya mapitio ya kanuni zinazosimamiwa na baraza hilo. Akizindua Kikosi hicho mapema leo Machi 12,2025 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Baraza hilo,Gasper Makala…

Read More

Watatu kortin wakituhumiwa kumuua ndugu yao

Dar es Salaam. Mkazi wa Bagamoyo, Fred Chaula (56) na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka ya kumuua ndugu yao, Regina Chaula (62). Mbali na Fredy, washtakiwa wengine ni Bashir Chaula (49), dereva bodaboda na mkazi wa Tegeta pamoja na Denis Mhwaga, mkazi wa Iringa. Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani…

Read More

Rais Samia ateua wenyeviti wa bodi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa  viongozi mbalimbali wa wenyeviti wa bodi na kumuongezea muda Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (Tafiri). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka, Dk Ismael Aaron Kimirei ameteuliwa kushika wadhifa  katika kipindi cha pili. Naye Balozi Ernest…

Read More

Wataalamu waonya matumizi mabaya ya vitimwendo

Dar es Salaam. Matumizi ya viti mwendo visivyo sahihi yanatajwa kusababisha matatizo makubwa ya kiafya kwa watu wenye changamoto za ulemavu wa miguu, wataalamu wameonya. Vitimwendo vinachukuliwa kuwa msaada muhimu kwa watu wenye changamoto za ulemavu wa miguu. Hata hivyo, iwapo havitachaguliwa ipasavyo, vinaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya badala ya kusaidia hali ya mtumiaji….

Read More

Kaya maskini Dar zapewa kodi, Chalamila atia neno

Dar es Salaam. “Umaskini sio ugonjwa wa kudumu’. Haya ni maneno aliyoyarudia mara kadhaa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila wakati akizindua mpango wa ruzuku ya kodi kwa kaya maskini zinazoishi kando kando ya barabara za mwendo wa haraka. Mkuu huyo wa mkoa ameeleza kushangazwa na watu wanaokumbatia umaskini kama kitu cha…

Read More