Timu hizi ukilenga tu, imooo!

LIGI Kuu Bara inatarajiwa kuendelea tena kesho kwa mchezo wa kiporo baina ya Simba dhidi ya Dodoma Jiji ikiwa ni funga hesabu kwa mechi za raundi ya 23 kabla ya ligi hiyo kusimama hadi Aprili Mosi kupisha kalenda ya mechi za kimataifa kwa timu za taifa na michuano ya Kombe la Shirikisho. Hata hivyo, wakati…

Read More

EAC wazindua mradi wa Sh31 bilioni kusaidia kilimo

Arusha. Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imezindua mradi wa kuendeleza kilimo wenye thamani ya Sh31.25 bilioni unaolenga kuongeza uzalishaji wa kilimo na uendelevu wake katika ukanda huo.  Mradi huu wa miaka mitatu, unaojulikana kama ‘Sustainable Regional Agricultural Extension’ (ENSURE), unafadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kwa lengo la kuimarisha huduma za ugani, kuongeza…

Read More

Tajirika na Duka la Kasino ya Mtandaoni, Lucky Betting Shop!

KUCHEZA kasino sio lazima ufike kwenye maduka la kasino yaliyopo mtaani, Meridianbet imerahisisha kazi yako, kupitia kasino ya mtandaoni utapata wasaa wa kucheza michezo ya sloti na kasino kirahisi kabisa. Mchezo wa kasino ya mtandaoni. Lucky Betting Shop ni mashine ya sloti inayofurahisha na kukupa zawadi kedekede kwenye michezo. Kumbuka, sio ubashiri wa kasino ya…

Read More

Wadau wa Madini Shinyanga wanufaika na uwepo wa Soko la Madini

-Wadau wapongeza uwepo wa ubao wa kidigitali wa kuonesha bei elekezi za madini Wadau wa madini wakiwemo wachimbaji, wachenjuaji na wafanyabiashara wa madini katika mkoa wa Shinyanga wamepongeza uwepo wa Soko la Madini-Shinyanga, ambalo tangu kuanzishwa kwake limekuwa msaada mkubwa ambapo madini yanauzwa kulingana na bei elekezi inayoendana na soko la dunia ambayo huoneshwa kwenye…

Read More

Benki ya NBC Yajizatiti Kushirikiana na Halmashauri Kudhibiti Upotevu wa Mapato, Kuunga Mkono Agizo la Rais Samia.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kushirikiana na halmashauri pamoja na mamlaka zote za tawala za mikoa na serikali za mitaa katika kuboresha ukusanyaji wa mapato kwa njia za kidijitali na kuongeza uwazi katika mifumo ya fedha ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan linalozitaka mamlaka…

Read More

TAASISI ZA FEDHA ZAKARIBISHWA KUTOA ELIMU MUSOMA

Na. Josephine Majura WF, Mara Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Bi. Ainess Anderson, amezikaribisha Taasisi mbalimbali zinazojihusisha na masuala ya fedha kwenda kutoa elimu ya fedha ikiwemo uwekezaji na matumizi sahihi ya mikopo kwa wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma. Alitoa wito huo wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha yaliyotolewa…

Read More

Yanga kurudia ya mwaka 1965 kwa kuigomea Dabi?

MECHI ya watani wa jadi, Yanga na Simba maarufu kama Dabi ya Kariakoo, imeota mbawa baada ya kuahirishwa na Bodi ya Ligi kwa sababu ya malalamiko ya Simba kuhusiana na sakata la kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya mchezo. Mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 8 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, ikiwa ni marudio katika…

Read More