
Waziri Mkuu wa Canada kujiuzulu?
JUSTIN Trudeau, Waziri Mkuu wa Canada, huenda akatangaza kujiuzulu ndani ya siku chache, kulingana na ripoti za vyombo vya habari. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Anafikiria kujiuzulu kama kiongozi wa chama tawala cha Liberal, na kumaliza miaka yake tisa kama waziri mkuu. Ni kufuatia miezi kadhaa ya shinikizo kutoka kwa wabunge wa chama chake….