Waziri Mkuu wa Canada kujiuzulu?

JUSTIN Trudeau, Waziri Mkuu wa Canada, huenda akatangaza kujiuzulu ndani ya siku chache, kulingana na ripoti za vyombo vya habari. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Anafikiria kujiuzulu kama kiongozi wa chama tawala cha Liberal, na kumaliza miaka yake tisa kama waziri mkuu. Ni kufuatia miezi kadhaa ya shinikizo kutoka kwa wabunge wa chama chake….

Read More

Vijana wanne kati ya 29 ‘waliotekwa’ Kenya wapatikana

Nairobi. Tovuti ya Daily Nation imeripoti kuwa vijana wanne kati ya 29 walioripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana nchini Kenya, wamepatikana wakiwa hai huku familia zao zikithibitisha. Vijana hao wanaotajwa kuwa wakosoaji wa Serikali ya awamu ya tano ya nchi hiyo, walianza kutoweka mwishoni mwa mwaka 2024, jambo lililosababisha baadhi ya Wakenya kuandaa maandamano kuitaka Serikali…

Read More

Maafande waingilia dili la Mpepo

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Eliuter Mpepo ambaye aliwahi kufanya vizuri katika Ligi Kuu Zambia akiwa na Trident FC anajiandaa kutua Tabora United kwa mkataba wa mwaka mmoja, lakini pia Tanzania Prisons ikimpigia hesabu. Mpepo ambaye amefunga mabao saba na kutoa asisti tano kwenye Ligi Kuu Zambia, ameonekana kuwa chaguo muhimu kwa timu hizo zinazohitaji…

Read More

Mechi za pesa leo hizi hapa

Ni Jumatatu nyingine ya kuondoka na mshindo ndani ya wakali wa ubashiri Meridianbet ambapo ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yakiwa hapa. Suka jamvi lako la ushindi sasa. EPL baada ya kuendelea hapo jana, pia leo hii kuna mtanange mmoja kati ya Wolves dhidi ya Nottingham Forest ambao wanahitaji ushindi hii leo wazidi kushikilia…

Read More

Makonda amvaa Gambo mbele ya waziri

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemvaa mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo akidai haudhurii vikao vinavyojadili maendeleo ya mkoa huo, badala yake anasubiria viongozi wa kitaifa ili kueleza changamoto. Tukio hilo limetokea leo Jumatatu, Januari 6, 2025  eneo la Ilboru katika ziara ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega aliyekuwa akikagua mradi…

Read More

Waganga wa jadi wapigwa marufuku kung’ang’ania wagonjwa

Shinyanga.  Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Dk Faustine Mulyutu, amewataka waganga wa jadi wakiona wagonjwa wenye dalili za maambukizi ya malaria wasiwang’ang’anie, bali wawashauri kwenda vituo vya afya. Dk Mulyutu ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Januari 6, 2025, wakati wa uzunduzi wa kampeni ya ugawaji vyandarua kwa wananchi iliyofanyika katika ukumbi…

Read More