MWISHO KURUDISHA FOMU VUNJABEI CUP 2025 NI LEO
NA DENIS MLOWE, IRINGA, TIMU 50 zinazotarajiwa kushiriki mashindano ya kugombea Kombe la VunjaBei lenye kitita cha sh. Milioni 10 kwa bingwa zimetakiwa kurudisha fomu leo Machi 11 ikiwa siku ya mwisho. Akizungumza na mwanahabari Katibu wa mashindano hayo Pastor Kwambiana alisema kuwa timu zote zilizofuzu hatua ya 50 bora kwamba saa kumi jioni ya…