MWISHO KURUDISHA FOMU VUNJABEI CUP 2025 NI LEO

NA DENIS MLOWE, IRINGA, TIMU 50 zinazotarajiwa kushiriki mashindano ya kugombea Kombe la VunjaBei lenye kitita cha sh. Milioni 10 kwa bingwa zimetakiwa kurudisha fomu leo Machi 11 ikiwa siku ya mwisho. Akizungumza na mwanahabari Katibu wa mashindano hayo Pastor Kwambiana alisema kuwa timu zote zilizofuzu hatua ya 50 bora kwamba saa kumi jioni ya…

Read More

Aliyekuwa Rais wa Ufilipino akamatwa kwa tuhuma za mauaji

Manila. Aliyekuwa Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, amekamatwa leo  Jumanne Machi 11, 2025 mjini Manila kwa hati ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kwa mujibu wa The New York Times, Duterte amekamatwa baada ya Mahakama ya ICC kutoa waranti inayomtuhumu kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu katika vita vyake vya dawa za kulevya,  ambapo mashirika…

Read More

Kwa nini muhimu shule kuwa na wanasaikolojia?

Lengo la adhabu huwa ni kutokomeza au kuondoa tabia isiyofaa kwa mwanafunzi au mtoto. Fimbo inapotumika mara nyingi huambatana na karipio, ambalo huondoa hali ya kujiamini kwa mwanafunzi au mtoto. Utafiti mwingi unaonesha mtoto anayekaripiwa mara nyingi huwa katika hatari ya kupoteza uwezo wa kujiamini na kujifunza kwa uhuru, kwa sababu anakuwa kwa sehemu kubwa…

Read More

Mjadala wa viboko kwa wanafunzi, suluhu hii hapa

Katika gazeti hili toleo la tarehe 5/3/2025 kulikuwa na kichwa cha habari: “Mwanafunzi afariki dunia kwa kipigo.”  Halafu katika tolea la tarehe 6/3/2025, mhariri akaandika maoni ya gazeti  kwa kichwa cha habari kisemacho: “Viboko hadi kifo vikomeshwe shuleni.”  Nampongeza mhariri kwa maoni hayo mazuri. Na kesho yake tarehe 7/3/2025 tukaona tena habari hii: “Sababu mwili…

Read More

Zainab ni zaidi ya mwalimu kwa watoto shuleni

Dodoma. Umewahi kusikia maneno; ualimu ni wito? Ni msemo wa miaka mingi japo mabadiliko ya kimaisha yamewavaa baadhi ya watu wanaomini msemo huo hauna maana tena katika dunia ya sasa. Kwao ualimu ni ajira, mengine yatafuata. Hata hivyo, kwa baadhi ya walimu akiwamo Zainab Yamlinga, hadithi ni tofauti. Pengine kwake ualimu ni zaidi ya wito….

Read More

NMB watia saini makubaliano na NM-AIST kukuza na kuendeleza Teknolojia

Benki ya NMB imesaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati (MoU) na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) yanayolenga kutambua, kuyatamia, na kuendeleza vipaji vya bunifu za teknolojia ya kidijitali.Pia makubaliano hayo yatasaidia kutekeleza tafiti na bunifu zinazozalishwa na wahitimu na wataalam wa NM-AIST, kwa lengo la kutatua changamoto katika jamii…

Read More