Mmoja afariki, 33 wajeruhiwa ajali ya Coaster na katapila

Songwe. Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 33 kujeruhiwa katika ajali ya basi dogo aina ya Toyota Coaster lililogongana na katapila, iliyotokea jana mchana eneo la Msinde Wilaya Momba mkoani Songwe. Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Augustino Senga amesema ajali hiyo imetokea jana Machi 10, 2025 saa sita mchana ikihusisha gari aina ya Toyota Coaster…

Read More

Jinsi inavyofanya kazi, kwa nini ni muhimu na nini kitapotea ikiwa imeshindwa – maswala ya ulimwengu

Mkutano wa G20 Johannesburg utakuwa mkutano wa ishirini wa kikundi cha ishirini (G20), mkutano wa wakuu wa serikali na serikali iliyopangwa kufanywa kutoka 22 hadi 23 Novemba 2025. Itakuwa mkutano wa kwanza wa G20 uliofanyika Johannesburg, Afrika Kusini na bara la Afrika. Maoni na Danny Bradlow (Pretoria, Afrika Kusini) Jumanne, Machi 11, 2025 Huduma ya…

Read More

Mzize, Ateba ngoma nzito | Mwanaspoti

LIGI Kuu Bara inatarajiwa kuendelea Ijumaa hii kwa kiporo cha Simba dhidi ya Dodoma Jiji kupigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, lakini huku nyuma kuna vita nzito ya mastraika katika kufumania nyavu upinzani zaidi ukiwa kati ya Clement Mzize, Prince Dude na Leonel Ateba. Hadi sasa ligi ipo raundi  wa 23 na…

Read More

Simba v TMA Shirikisho hii mechi ipo!

BAADA ya kushindwa kuchezwa kwa mechi ya Dabi ya Kariakoo wikiendi iliyopita dhidi ya Yanga katika Ligi Kuu Bara, leo jioni Simba inatarajiwa kushuka uwanjani kuvaana na TMA Stars ya Arusha ukiwa ni mchezo wa hatua ya 32 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho (FA). Hii ni kati ya mechi tatu za michuano hiyo…

Read More

Mbinu Sahihi Kwa Anayetaka Kuolewa! – Global Publishers

Last updated Mar 11, 2025 Maisha yanaenda kasi sana huku suala la ndoa likiwa ni kipaumbele cha kwanza na kigumu kwa wanawake. Matokeo yake wengi wamejikuta wakichanganyikiwa pindi tu wanapotangaziwa ndoa. Mwanamke akiambiwa ninakuoa, akili yote inamruka. Hana muda wa kuhoji mara mbili, cha muhimu ni kusikia tu ile kauli ya ‘nitakuoa’. Hiyo kwake…

Read More

Utamu kamili wa kikapu uko hivi

UNAUPENDA mchezo wa kikapu? Sasa hapa kuna mawili matatu kuhusu mchezo huo. Kwanza wachezaji wanaotakiwa kucheza uwanjani ni watano, kati ya wachezaji 12 wanaoandikishwa kwa kila mchezo. Tofauti na mchezo wa soka, ambako mchezaji akitoka haruhusiwi kurejea mchezoni, katika kikapu wachezaji wanaingia na kutoka. Nafasi tano zinazochezwa na wachezaji hao katika kikapu ni ya point…

Read More

Habari njema kuhusu afya ya Papa Francis

Rome. Vatican imesema kuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis hayuko tena kwenye hatari ya kifo kutokana na maradhi yanayomsumbua, huku ikieleza kuwa dawa anazotumia zimeanza kuonyesha matokeo chanya kwenye mwili wake. Taarifa ya Vatican leo Jumanne Machi 11, 2025, imesema kuwa ishara ya maendeleo na kuimarika kwa afya ya kiongozi huyo imeonekana jana…

Read More

NMB YAUBEBA MKUTANO WA 39 WA ALAT

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. BENKI ya NMB imetoa Jumla ya Sh170 milioni kama sehemu ya udhamini wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT). Kiasi hicho ni sehemu ya jumla ya fedha Sh1.4 bilioni zilizokwishakutolewa na benki hiyo kwa ajili ya ALAT katika kipindi cha miaka 9 tangu NMB ilipoanza…

Read More