
Polisi yaanza kufuatilia kupotea kwa Mutajura, gari yake yadaiwa kutelekezwa Buza
Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linafuatilia taarifa za madai ya kutekwa kwa Dastan Mutajura na watu wasiojulikana jana Jumamosi Januari 4, 2025. Mutajura anadaiwa kutekwa saa 4 asubuhi jana, maeneo ya Sigara, Tanesco, Buza jijini Dar es Salaam wakati akitokea nyumbani kwake, eneo la Kitunda. Taarifa iliyoambatana na picha ya…