Bodaboda wamchangia Samia Sh1 milioni za kuchukua fomu

Tanga. Wanachama wa Umoja wa Wamiliki wa Waendesha Pikipiki na Bajaji Wilaya ya Tanga (Uwapibata) wamechanga Sh1 milioni kwa ajili ya Rais Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu ya kugombea urais kwa mwaka 2025. Fedha hizo wamezikabidhi leo Januari 4, 2025, wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Tanga, Ummy Mwalimu, jijini hapa….

Read More

CAICA WAJIPANGA KUDHIBITI VIPODOZI FEKI NCHINI TANZANIA

WADAU Wa Sekta ya Urembo na Mitindo wameihimiza serikali kuweka Mazingira bora ya uwakala wa bidhaa za kimataifa za vipodozi ili kupunguza changamoto ya bidhaa bandia zinazosambazwa nchini. Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa tawi jipya la Duka la Dawa baridi na Vipodozi Mkurugenzi wa CAICA Pharmacy, Jackson John, amesema Kampuni yake inalenga kuwa mfano…

Read More

Barabara kilometa 36 kufungua Wilaya ya Same

Same. Changamoto ya usafiri na usafirishaji katika Tarafa za Mamba Myamba na Gonja wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, inaelekea kuwa historia baada ya Serikali kuanza ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 36 kutoka Ndungu hadi Mkomazi. Wakati mkandarasi akikabidhiwa jukumu la ujenzi wa barabara hiyo, pia Serikali imekamilisha mchakato wa kumpata mkandarasi atakayejenga takribani…

Read More

Walichokisema Mbowe, Lwaitama ukomo wa madaraka Chadema

Dar es Salaam. Mjadala ulioibuliwa na Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kuhusu ukomo wa madaraka umezidi kupamba moto ndani na nje ya chama hicho, kila upande ukizungumzia suala hilo kwa namna tofauti. Suala hilo mara hii limemwibua Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema na mshindani mkuu wa Lissu kwenye kinyang’anyiro cha uenyekiti wa chama…

Read More

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AMLILIA JAJI WEREMA

  Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mstaafu Frederick Werema, yaliyofanyika tarehe 04 Januari, 2025 katika Kijiji cha Kongoto, Wilayani Butiama Mkoani Mara. Akizungumza wakati wa utoaji wa Salamu za Pole, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, amesema kuwa Jaji Werema alijitolea kwa hali na mali…

Read More

Jaji Mkuu aongoza maziko ya Werema, azungumzia mchango wake

Butiama. Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ameongoza mamia ya watu katika mazishi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Frederick Werema katika mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Kongoto kilichopo Wilaya ya Butiama mkoani Mara. Jaji Werema (69) alifariki dunia Desemba 30, 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu baada…

Read More

ULEGA ATAKA WAZAWA WAPEWE KIPAUMBELE UJENZI WA BARABARA

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amewataka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kuhakikisha unatoa kipaumbele kwa vijana wazawa katika ujenzi wa miradi ya barabara inayoendelea nchini ili kupata ajira, kukuza ujuzi na uchumi kwa watanzania. Akizungumza na wananchi wa Kata ya Ndungu wilayani Same katika hafla ya kumkabidhi Mkandarasi China Communication Construction Company (CCCC), anayejenga barabara…

Read More