Simulizi hukumu kesi ya Sanga wa Chadema na wenzake- 1

Njombe. Haki imetendeka. Hii ndio kauli inayosikika vinywani mwa makada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya wenzao, George Sanga na wenzake wawili, kuachiwa huru kwa tuhuma za mauaji. Hii ni baada ya kukaa mahabusu siku 1,557 tangu walipokamatwa Septemba 26, 2020 kwa tuhuma za mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM),…

Read More

DC aonya watakaovamia Pori la akiba Kilombero

Kilombero. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero (DC), Dunstan Kyobya amesema Serikali haitawafumbia macho watu watakaohusika kudhoofisha jitihada za kulinda na kuhifadhi pori la akiba Kilombero ambalo ni mahususi kwa ajili ya kuhifadhi vyanzo vya maji, misitu na wanyamapori. Pori hilo la akiba pia ndio chanzo cha upatikanaji wa maji kupitia mto Kilombero kwa ajili ya…

Read More

Wazazi, walezi chanzo cha unyanyasaji kwa watoto

  IMEELEZWA kuwa kitendo cha wazazi na walezi kutopata muda wa kukaa na watoto wao na kutumia muda mwingi kulelewa na watoto wa kazi kumechanga kwa kiasi kikubwa kutokea kwa mmomonyoko wa maadili pamoja na vitendo vya kikatili. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma ..  (endelea). Hayo yameelezwa na mwinjilisti wa kitaifa na kimataifa Jordan Chisawino wa…

Read More

Kipindupindu chaitesa Mbeya, RC atoa maagizo

Dar/Mikoani. Wakati ugonjwa wa kipindupindu ukitajwa kuwapo katika halmashauri tatu za Mkoa wa Mbeya, mkuu wa mkoa huo, Juma Homera ametoa maelekezo kwa wakuu wa wilaya na kamati za afya. Pia amesema wakati mkoa huo ukiendelea kujipanga kukabiliana na ugonjwa huo, tayari maofisa wa Wizara ya Afya wametua mkoani humo kuongeza nguvu kuokoa maisha ya…

Read More

Gadiel aitosa Chippa United | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto wa kimataifa wa Tanzania, Gadiel Michael ameachana na Chippa United ya Afrika Kusini huku sababu za kuondoka klabuni hapo hazijulikani. Nyota huyo wa zamani wa Simba na Yanga ambaye wakati mwingine amekuwa akitumika kama kiungo ndani ya timu hiyo ya Chippa, alijiunga na timu hiyo msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Sumaye ataja yanayochangia kuvuruga amani ya uchaguzi 

Dar es Salaam. Ikiwa imebaki miezi takribani tisa kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye ametaja mambo matano yanayoweza kuchangia kuvuruga amani katika uchaguzi huo.  Akizungumza na Mwananchi mwishoni mwa wiki iliyopita kujua anachokiona kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025, Sumaye amesema mambo hayo yana histori ya kuchafua amani…

Read More

Aisha Masaka kuiwahi Chelsea | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Aisha Masaka anayekipiga Brighton & Hove Albion ameondoka nchini baada ya likizo ya wiki moja na anatarajia kurejea uwanjani mwishoni mwa Februari kuuwahi mchezo wa Ligi dhidi ya Chelsea utakaopigwa Machi 02. Masaka alipata jeraha la bega kwenye mchezo wa Ligi Kuu England (W) dhidi ya Arsenal Novemba 9 mwaka huu uliomuweka…

Read More

Watengeneza maudhui yasiyofaa mitandaoni wanyooshewa kidole

Dar es Salaam. Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii bila shaka utakuwa unafahamu mizaha (Pranky) ya watengeneza maudhui yasiyofaa kwa lengo la kupata ufuatiliaji kwa watumiaji. Hivi karibuni kumekuwa na maudhui yenye kuzua taharuki kwenye jamii ili mradi muhusika afuatiliwe katika mtandao ya kijamii ikiwemo Instagram, Facebook, X  na TikTok. Mfano juzi tumeona video iliyosambaa…

Read More