Simba yaichapa TMA, yafuzu 16 bora
SIMBA imetinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho (FA) kufuatia kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TMA Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, leo, ambapo sasa inakwenda kucheza dhidi ya Big Man. Ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza, Simba ilionekana kutawala huku ikisukuma mashambulizi…