
Wabongo nguvu sawa Uturuki | Mwanaspoti
BAADA ya tambo za Watanzania wawili wanaokipiga katika Ligi ya Walemavu nchini Uturuki hatimaye mechi baina ya timu zao imemalizika kwa sare ya 1-1. Nyota hao ni Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe na Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee ambao walikutana kwenye mchezo wa Ligi hiyo uliojaa ushindani. Akizungumza na Mwanaspoti, Shedrack ambaye pia aliifunga timu…