Yao atangaza vita mapema | Mwanaspoti

WAKATI mashabiki wakianza kujiuliza mtaani na mtandaoni itakuwaje mara beki wa kulia ya Yanga, Yao Kouassi atakaporejea kutoka kwenye majeruhi kutokana na kiwango kilichoonyeshwa na Kibwana Shomary aliyewashika kwa sasa, lakini beki huyo kutoka Ivory Coast amevunja ukimya na kusema anaukubali uwezo wa mwenzake, huku akisititiza anaamini akipona atarejea katika eneo hilo kama kawaida. Yao…

Read More

Matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne

  BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne ambayo yatawawezesha wanafunzi kujiunga na kidato cha tatu na darasa la tano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kuangalia matokeo ya kidato cha pili ingia HAPA Kuangalia matokeo ya darasa la nne ingia HAPA About The Author…

Read More

Latra yatia mguu udhibiti wa ‘Special hire’

Dar es Salaam. Mwaka 2024 Tanzania ilikubwa na jinamizi la ajali za barabarani, Desemba ukiwa kinara. Ni kutokana na ajali hizo, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) imekuja na mpango maalumu ukiwalenga wamiliki na madereva wa mabasi maalumu ya kukodi (Special hire) ambayo mengi ni Toyota Coaster. Hatua ya Latra inatokana na tathimini iliyofanya…

Read More

Ushindi waipa mzuka Zanzibar Heroes

BAO pekee lililowekwa kimiani na nahodha, Feisal Salum ‘Fei Toto’ limeiwezesha timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes kuanza vyema michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 kwa kuichapa Kilimanjaro Stars ya Tanzania Bara kwenye pambano la ufunguzi wa michuano hiyo lililopigwa Uwanja wa Gombani, kisiwani hapa. Pambano hilo la wanandugu, lilipigwa usiku wa jana na…

Read More

BALOZI WA JAPAN ASIFU UTENDAJI KAZI WA TRA

  Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yasushi Misawa leo tarehe 03/01/2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kumuaga baada ya kumaliza muda wake. Katika mazungumzo yao  yaliyojikita kwenye masuala ya Kodi, Uwekezaji, kubadilishana…

Read More

Kwa nini kipato chako hakilingani na juhudi zako kazini

Dar es Salaam. Si kila mavuno yanaakisi ulichopanda. Kifungu hiki cha maneno kinabeba uhalisia wa maisha ya baadhi ya watu ambao juhudi zao katika kazi wanazofanya hazilingani na matokeo. Kama umewahi kumwona mtu anayefanya kazi bila kupumzika, kiwango cha juhudi zake kinatazamwa kuwa mfano, lakini hali ya uchumi wake imebaki bila mabadiliko, huo ndiyo muktadha…

Read More