CCM yaweka ukomo viti maalumu
Dar/Dodoma. Mjadala wa kuitaka ukomo wa udiwani na ubunge wa viti maalumu ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) umepata majibu. Majibu hayo yamepatikana baada ya chama hicho kuridhia uwakilishi huo kwa upande wa viti maalumu uwe vipindi visivyozidi viwili (miaka 10). Kumekuwa na sauti za makada ndani ya nje ya chama hicho, zitaka uwekwe ukomo…