CCM yaweka ukomo viti maalumu

Dar/Dodoma. Mjadala wa kuitaka ukomo wa udiwani na ubunge wa viti maalumu ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) umepata majibu. Majibu hayo yamepatikana baada ya chama hicho kuridhia uwakilishi huo kwa upande wa viti maalumu uwe vipindi visivyozidi viwili (miaka 10). Kumekuwa na sauti za makada ndani ya nje ya chama hicho, zitaka uwekwe ukomo…

Read More

Afariki dunia ndani ya basi akitoka Kilwa

Lindi. Rukia Saidi, mkazi wa Kijiji cha Pande, wilayani Kilwa amefariki dunia akiwa njiani kwenda kupata matibabu katika Hospitali ya Mkoa Sokoine. Tukio hilo limetokea mchana wa leo Jumanne Machi 11, 2025. Kaimu Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk Shedrack Lusasi amethibitisha kupokewa mwili wa Rukia. Zakia Yusufu, mama mdogo wa marehemu akizungumza na waandishi…

Read More

WANANCHI MKOA WA MARA WATAKIWA KUTUMIA KWA USAHIHI MIKOPO

Na. Peter Haule na Josephine Majura, WF, Mara Katibu Tawala Mkoa wa Mara Gerald Kusaya amewataka wananchi wa mkoa huo kutumia mikopo inayotolewa na Serikali kwa manufaa na kuirejesha kwa wakati ili iweze kuwanufaisha wengine wenye uhitaji. Rai hiyo imetolewa Mkoani Mara, alipokutana na kufanya mazungumzo na Timu ya Wataalamu ya Elimu ya Fedha kutoka…

Read More

Upelelezi kesi mpya ya Boni Yai bado, Serikali yasubiri…

Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai. Mshtakiwa huyo anakabiliwa na mashitaka mawili ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wake wa X (zamani Twitter). Kesi hiyo iliitwa leo Jumanne, Machi 11,…

Read More

Kijana atoweka kwa siku 10, mama yake apaza sauti

Geita. Abrahaman Habiye, mkazi wa Mtaa wa Uwanja, Kata ya Nyankumbu mjini Geita anadaiwa kutoweka tangu Machi Mosi, 2025 alipochukuliwa na watu wasiojulikana. Habiye (24), aliyekuwa akiuza duka la nguo la mama yake, inadaiwa alifuatwa na watu walioshuka kwenye gari jeupe aina ya Toyota Land Cruiser lenye vioo vyeusi waliojifanya wateja. Jeshi la Polisi limethibitisha…

Read More

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU BIMA YAKO YA AFYA

  Na Mwandishi Wetu OFISA Mkuu wa Usambazaji kutoka Kampuni ya Jubilee Insurance Rogation Selengia anaeleza kuwa Bima ya afya sio tena anasa bali ni lazima. Akizungumza kuhusu umuhimu wa Bima Selengia anasema pamoja na gharama za matibabu zinazoongezeka, mpango bima sahihi na unaofaa unatoa ufikiaji wa huduma muhimu bila mzigo wa msongo wa kifedha….

Read More

Mpango kulinda rasilimali za bahari huu hapa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikipigia chapuo upatikanaji nwa tija katika uchumi unaotokana na maji maarufu ‘uchumi wa buluu’, mpango wa kulinda na kuendeleza rasilimali zilizopo baharini umezinduliwa. Kampeni mpya yenye lengo la kufufua uchumi wa buluu wa Afrika Mashariki imezinduliwa na shirika la Ascending Africa. Kampeni hiyo iliyopewa jina la Kilindini inalenga kushughulikia hitaji…

Read More