Kumekucha Ramadhani Cup | Mwanaspoti

MASTAA wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), wanatarajia kuunda timu zao zitakazoshiriki katika mashindano ya Kombe la Ligi ya Ramadhani, yatakayoenda kwa jina la Ramadhani Star Ligi na kufanyika kwenye Uwanja wa Spide. Akiongea na Mwanasposti kwenye Uwanja wa Spide, mratibu wa mashindano hayo, Mohamed Yusuph, alisema mashindano hayo yatakayokuwa yakifanyika…

Read More

Makundi ya waasi DRC yadaiwa kujiunga M23, Marekani yajitosa

Goma. Takriban vikundi vitatu vya wapiganaji wa kundi la wazalendo wanaoliunga mkono Jeshi la Serikali ya Jamhuri Kidemokrasia ya Congo (FARDC) Kivu Kaskazini wameasi na kujiunga na muungano wa makundi ya waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23). Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini DRC, taarifa iliyosainiwa na kiongozi wa wazalendo, Shukuru Bulenda, vikundi hivyo…

Read More

WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KARIAKOO WAPEWA SEMINA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Masoko ya Kariakoo limeendesha Semina ya Siku mbili kwa waliokuwa wafanyabiashara wa soko la Kariakoo ambao wanatarajiwa kurejeshwa ndani ya soko kufuatia kukamilika kwa mradi ujenzi na ukarabati wa soko. Akizungumza na waandishi wa habari katika Semina hiyo leo Machi 11,2025 Jijini Dar es Slaam, Afisa Uhusiano Mkuu…

Read More

Aliyeua mke, mtoto kuwafukia shambani ahukumiwa kifo

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Haridi Ntamoye, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mke pamoja na mtoto wake kisha kuwafukia kwenye shimo shambani kwao. Miili ya Ashura Moshi (mke) pamoja na mtoto wao, Alibika Khalid, iligunduliwa shambani humo ikiwa imeanza kuharibika. Hukumu hiyo imetolewa jana Machi 10,…

Read More

TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA 62 WA BODI YA KIMATAIFA YA TEITI MACHI 13 – 14, 2025 JIJINI ARUSHA.

   Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika usimamizi wa Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia Tanzania(TEITI) Bi. Mariam Mgaya,akitoa taarifa kuelekea Mkutano wa 62 wa Bodi ya Kimataifa ya TEITI utaotarajiwa kufanyika Machi 13 hadi 14 jijini Arusha. Na.Mwandishi Wetu _Dodoma.  Ikiwa zimebaki siku kadhaa kuelekea kufanyika kwa Mkutano wa 62…

Read More

Njaa tatizo kubwa kikapu, Dossi, Happy watimka

UKATA ndiyo sababu moja kuu inayofanya timu 11 zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), zisifanye vizuri kwa nyakati tofauti. Kukosa fedha za kusajili wachezaji na kukosa fedha kuendeshea timu kiujumla, vinafanya wachezaji wacheze kwa kujitolea.  Ukiondoa timu ya Dar City inayomilikiwa na mdau mmoja wa kikapu Mussa Mzenji, ndio angalau imekuwa…

Read More