Kumekucha Ramadhani Cup | Mwanaspoti
MASTAA wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), wanatarajia kuunda timu zao zitakazoshiriki katika mashindano ya Kombe la Ligi ya Ramadhani, yatakayoenda kwa jina la Ramadhani Star Ligi na kufanyika kwenye Uwanja wa Spide. Akiongea na Mwanasposti kwenye Uwanja wa Spide, mratibu wa mashindano hayo, Mohamed Yusuph, alisema mashindano hayo yatakayokuwa yakifanyika…