
WAZIRI JAFO AFUNGUA MAONESHO YA 11 YA BIASHARA YA KIMATAIFA DIMANI ZANZIBAR
Waziri wa Viwanda na Biashara wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk,Seleman Said Jafo(kushoto)akielekeza Jambo kwa Msaidizi Mrajisi wa Mali na Ubunifu Mustafa Abdulhamid wakati akitembelea Mabanda mbalimbali katika hafla ya Ufunguzi wa Maonesho ya 11 ya Biashara ya Kimataifa Dimani Magharibi B Unguja .Ikiwa ni katika Shamra shamra za miaka 61 ya Mapinduzi ya…