MAYBELLINE NEW YORK YAZINDULIWA RASMI TANZANIA,WAREMBO WAFURIKA MLIMAN CITY

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV Maybelline New York, bidhaa inayoongoza duniani katika ulimwengu wa vipodozi, inajivunia kutangaza uzinduzi wake rasmi nchini Tanzania, hatua inayofungua msimu mpya wa upatikanaji wa urembo wa hali ya juu kwa wote. Uzinduzi huo umefanyika katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ikiwa ni sherehe ya kujieleza, kujiamini, na ujumuishi, ikiimarisha dhamira…

Read More

Simba Queens yataka rekodi tatu bongo

KOCHA wa Simba Queens, Yussif Basigi amesema anatamani kuandika rekodi tatu kwenye ligi ya Tanzania ambayo ndio msimu wake wa kwanza kuitumikia. Kocha huyo alijiunga na Simba akitokea Hasacaas Ladies ya Ghana na ukiwa msimu wake wa kwanza kwenye Ligi hajapoteza mchezo wowote akitoa sare moja na JKT Queens na ushindi mechi 11. Akizungumza na…

Read More

Kimenya, Elfadhili wagoma, Juma arejea Prisons

MATOKEO mabaya inayopata Tanzania Prisons, yamewafanya viongozi warudi kwa wachezaji askari Jumanne Elfadhili, Salum Kimenya na Jeremiah Juma waliowaondoa kikosini na kuwapangia majukumu mengine, baada ya kuona uwepo wao utasaidia timu isishuke daraja. Hata hivyo, inaelezwa wachezaji wawili miongoni mwao, wamegoma kurudi kikosini na kutaka msimamo wa awali uheshimiwe juu yao. Katika msimamo wa ligi,…

Read More

Fountain Gate Princess shida ni washambuliaji

KOCHA wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema mashindano ya Samia Women Cup yaliyofanyika mkoani Arusha yamemuonyesha mwanga wa eneo lipi anapaswa kulifanyia kazi kwa haraka. Mashindano hayo yalifanyika Machi 4 hadi  7 yakijumuisha timu nne ambazo ni Yanga Princess iliyochukua ubingwa kwa kuitandika JKT Queens mabao 3-1, Simba Queens iliyomaliza nafasi ya tatu na…

Read More

Mastaa Yanga walia na Simba kuwanyima mamilioni

KAMA kuna kitu kinachowauma mastaa wa Yanga ni kitendo cha watani wao, Simba kuamua kuikacha mechi ya Ligi Kuu ya Dabi ya Kariakoo iliyokuwa ipigwe juzi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa,  Dar es Salaam. Pambano hilo la Ligi Kuu Bara, lilipangwa kupigwa juzi Jumamosi ikiwa ni mechi ya marudio kwa msimu huu, baada ya awali…

Read More

Wakongwe wakemea Kariakoo Dabi kuahirishwa kienyeji

HUKO mtandaoni bado mashabiki wa soka wana hasira kutokana na kuahirishwa kwa pambano la Dabi ya Kariakoo iliyokuwa ipigwe juzi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, huku baadhi ya wadau wakiwamo wakongwe wa soka waliwaka kwa waliokwamisha mechi kupigwa wakidai wamezingua. Wapo wanaoamini Simba imezingua kwa upande mmoja kuamua kususia mchezo mapema kabla ya taarifa ya…

Read More

UKWELI KUHUSU UMEME KUTOKA KENYA

Baada ya kauli ya Rais Samia ya kununua umeme kutoka Kenya, kumeibuka mjadala mkali. Nimemtafuta mtaalamu serikalini afafanue. Naye ameniambia hivi: Ununuzi wa umeme kutoka Kenya kwa ajili ya mikoa ya kaskazini ya Tanzania unaweza kusababishwa na sababu kadhaa za kiufundi, kiuchumi, na kimkakati, licha ya uwepo wa vyanzo vya ndani kama Mtera, Kidatu, na…

Read More