
MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2024
Bofya hapa MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2024
Bofya hapa MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2024
MABOSI wa Tabora United wapo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kipa namba moja wa timu ya taifa ya Gabon, Jean-Noel Amonome. Kipa huyo wa zamani wa Amazulu ya Afrika Kusini na AS Arta Solar ya Djibouti ujio wake utaongeza ushindani dhidi ya Hussein Masalanga ambaye ndiye kipa namba moja kwa sasa na Haroun…
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla amewataka vijana kuendeleza umoja na mshikamano pamoja na kuwa na dhamira njema ya kuijenga nchi ili kila mmoja aweze kunufaika na matunda ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964. Akizungumza na Vijana wa Umoja wa Vijana wa CCM Zanzibar (…
Je unajua kuwa Jumamosi ya leo unaweza kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Unasubiri nini kuchukua chao mapema? Ligi kuu ya Uingereza, EPL leo hii mapema kabisa Tottenham Hot Spurs baada ya kulazimishwa sare mechi yake iliyopita,…
Na John Walter -Babati Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa Daniel Sillo, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi mkubwa wa maji katika Kata ya Arri. Mheshimiwa Sillo ameweka jiwe hilo la msingi leo Januari 3,2025, ambao unatekelezwa chini ya usimamizi wa Wakala wa…
Wakati mkimbizi wa Venezuela mwenye umri wa miaka 11 Astrid Saavedra alipoingia katika darasa lake la darasa la nne huko Trinidad na Tobago kwa siku yake ya kwanza shuleni mnamo Septemba, alikuwa na hamu ya kuanza masomo katika somo alilopenda zaidi, hisabati. Lakini matarajio ya kufundisha wanafunzi wenzake kuhusu nchi yake ya Venezuela yalikuwa ya…
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga, Thomas Masese, amewakumbusha wafanyabiashara kuhusu dirisha la makadirio ya kodi kwa mwaka wa 2025, linaloanzia Januari hadi Machi 2025, likiwa na lengo la kurahisisha ulipaji kodi bila kuwekewa adhabu. Akizungumza Meneja Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga amesema kuwa lengo la kukutana na…
KAMA wewe ni mpenzi na shabiki wa Simba, basi tegemea kuona maajabu zaidi kutoka kwa kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua hasa kwa mechi za kimataifa, baada ya kocha Fadlu Davids kueleza mipango ya kumchorea ramani mpya ili azidi kufunika. Kiungo huyo raia wa Ivory Coast anayeichezea Simba msimu wa kwanza akisajiliwa kutoka Stella Club d’Adjam…
Kuanzia Januari 1, 2025, Hungary iliikabidhi Poland kijiti cha urais wa kupokezana wa Umoja wa Ulaya, na hivyo kuhitimisha miezi sita ya msukosuko ndani ya umoja huo. Hayo ni wakati mataifa mawili yenye uchumi mkubwa barani Ulaya ya Ujerumani na Ufaransa yakikabiliwa na migogoro ya kisiasa. Badala ya kuwa mpatanishi asiyeegemea upande wowote, Waziri Mkuu…
WIKIENDI ya kibabe. Unaweza kusema ni Super Weekend kutokana na leo na kesho kuanzia hapa nyumbani hadi kule Ulaya kuna mechi za kibabe. Kwa leo, Jumamosi, kuanzia saa 9:30 alasiri hadi saa 5:00 usiku ni mwendo wa burudani tu kwa mtindo wa bandika bandua kutokana na mechi zilizopo kisha kesho Jumapili itamaliizwa kwa utamu mwingine….