Wawili wakutwa na maambukizi ya Mpox Tanzania
Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya imesema imewabaini watu wawili kuwa na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox. Hii ni mara ya kwanza ugonjwa wa Mpox kuingia nchini. Taarifa hiyo inakuja siku tatu tangu picha mjongeo iliyosambaa katika makundi ya sogozi, ikionyesha watu wawili wakiwa wamejirekodi na kudai kuwa na…