Kipa wa Gabon anukia Tabora United

MABOSI wa Tabora United wapo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kipa namba moja wa timu ya taifa ya Gabon, Jean-Noel Amonome. Kipa huyo wa zamani wa Amazulu ya Afrika Kusini na AS Arta Solar ya Djibouti ujio wake utaongeza ushindani dhidi ya Hussein Masalanga ambaye ndiye kipa namba moja kwa sasa na Haroun…

Read More

Piga pesa na Meridianbet leo

  Je unajua kuwa Jumamosi ya leo unaweza kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Unasubiri nini kuchukua chao mapema? Ligi kuu ya Uingereza, EPL leo hii mapema kabisa Tottenham Hot Spurs baada ya kulazimishwa sare mechi yake iliyopita,…

Read More

Wakimbizi vijana wa Venezuela wanapata mwanzo mpya katika shule za Trinidad – Masuala ya Ulimwenguni

Wakati mkimbizi wa Venezuela mwenye umri wa miaka 11 Astrid Saavedra alipoingia katika darasa lake la darasa la nne huko Trinidad na Tobago kwa siku yake ya kwanza shuleni mnamo Septemba, alikuwa na hamu ya kuanza masomo katika somo alilopenda zaidi, hisabati. Lakini matarajio ya kufundisha wanafunzi wenzake kuhusu nchi yake ya Venezuela yalikuwa ya…

Read More

“Dirisha la makadirio ya Kodi kwa mwaka 2025 lafunguliwa Wafanyabiashara Mkoa wa Tanga wakumbushwa”

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga, Thomas Masese, amewakumbusha wafanyabiashara kuhusu dirisha la makadirio ya kodi kwa mwaka wa 2025, linaloanzia Januari hadi Machi 2025, likiwa na lengo la kurahisisha ulipaji kodi bila kuwekewa adhabu. Akizungumza Meneja Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga amesema kuwa lengo la kukutana na…

Read More

Ahoua achorewa ramani mpya | Mwanaspoti

KAMA wewe ni mpenzi na shabiki wa Simba, basi tegemea kuona maajabu zaidi kutoka kwa kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua hasa kwa mechi za kimataifa, baada ya kocha Fadlu Davids kueleza mipango ya kumchorea ramani mpya ili azidi kufunika. Kiungo huyo raia wa Ivory Coast anayeichezea Simba msimu wa kwanza akisajiliwa kutoka Stella Club d’Adjam…

Read More