Wawili wakutwa na maambukizi ya Mpox Tanzania    

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya imesema imewabaini watu wawili kuwa na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox. Hii ni mara ya kwanza ugonjwa wa Mpox kuingia nchini. Taarifa hiyo inakuja siku tatu tangu picha mjongeo iliyosambaa katika makundi ya sogozi, ikionyesha watu wawili wakiwa wamejirekodi na kudai kuwa na…

Read More

Tuwalee wanafunzi kwa hoja si kwa viboko

Katika gazeti hili toleo la tarehe 5/3/2025 kulikuwa na kichwa cha habari: “Mwanafunzi afariki dunia kwa kipigo.”  Halafu katika tolea la tarehe 6/3/2025, mhariri akaandika maoni ya gazeti  kwa kichwa cha habari kisemacho: “Viboko hadi kifo vikomeshwe shuleni.”  Nampongeza mhariri kwa maoni hayo mazuri. Na kesho yake tarehe 7/3/2025 tukaona tena habari hii: “Sababu mwili…

Read More

Wataka kibano walimu wanaoendekeza viboko

Simiyu. Serikali imeshauriwa kuwaondoa katika nafasi zao walimu wakuu wa shule za msingi na wakuu wa shule za sekondari, watakaoshindwa kusimamia utaratibu,kanuni na miongozo ya utoaji wa adhabu ya viboko kwa wanafunzi katika shule zao na kusababisha madhara kwa wanafunzi. Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,  ilitoa Waraka wa Elimu Na.24 kuhusu adhabu…

Read More

Kinachojadiliwa Kamati Kuu Chadema hiki hapa

Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), inakutana katika kikao maalumu kikiwa na ajenda mbalimbali, ikiwemo uteuzi wa wakurugenzi, makatibu wa kanda, na taarifa ya utekelezaji wa ‘No Reforms No Election’. Ajenda hizo zimeanza kujadiliwa katika kikao hicho kilichoanza leo Jumatatu, Machi 10, 2025 na kinatarajiwa kuhitimishwa kesho Jumanne, makao…

Read More

Mwanafunzi kortini kwa kuchezea picha ya Nyerere

Dar es Salaam. Mwanafunzi wa Chuo cha Koteti kilichopo mkoani Tanga, Bonus Mbono (21) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matatu, likiwemo la kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa TikTok na kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine. Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu, Machi 10, 2025…

Read More