
Maxi, Chama na Yao kuikosa TP Mazembe kesho
Mastaa watatu wa Yanga, Maxi Nzengeli, Clatous Chama, Yao Kouassi ni miongoni mwa wachezaji wanne ambao wataukosa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya TP Mazembe kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam mwingine akiwa ni Aziz Andabwile. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Yanga, imeeleza kuwa Chama anaendelea na matibabu ya…