Yanga Princess imejipata | Mwanaspoti

UNAWEZA kusema Yanga Princess chini ya kocha Edna Lena ‘ Mourinho’ imeanza kujipata kutokana na muendelezo na ubora wanaouonyesha msimu huu. Mwanzoni mwa msimu Yanga ilianza vibaya Ligi Kuu (WPL) kwa mfululizo wa matokeo ikianza na sare ya 1-1 na Bunda Queens, 1-1 na Alliance Girls, 2-2 na Mashujaa na kupoteza kwa bao 1-0 dhidi…

Read More

Vatican yatoa mwenendo afya ya Papa Francis

Roma. Vatican imesema Papa Francis anaendelea vyema na matibabu ya nimonia katika mapafu yote mawili huku akionesha maendeleo katika afya yake. Taarifa hiyo ya Vatican iliyotolewa leo Jumapili Machi 9, 2025, inaeleza kuwa, madaktari wake wameamua kuendelea kuwa waangalifu kuhusu hali yake, wakimaanisha bado hajaondoka kwenye hatari ya kiafya inayosababishwa na maambukizi hayo. Papa huyo…

Read More

Aweso asimulia magumu mradi wa maji uliokwama miaka 19

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameeleza magumu aliyopitia na watendaji wengine wa Serikali katika utekelezaji wa mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe hadi kusababisha wengine wafukuzwe kazi. Amesema ni katika utekelezaji wa mradi huo, Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango aliahidi kuacha kazi iwapo kazi hazitakwenda sawa, jambo lililomfanya Aweso ahisi kutenguliwa katika…

Read More

Laizer aweka mikakati TMA | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa TMA FC ya jijini Arusha, Mohamed Ismail ‘Laizer’, amesema moja ya changamoto kubwa kwenye kikosi hicho ni kutokuwa na balansi nzuri katika eneo la uzuiaji na ushambuliaji, ingawa kwa sasa muhimu ni kupata pointi tatu. Akizungumza na Mwanaspoti, ‘Laizer’ alisema mwenendo wa kikosi hicho hadi sasa sio mbaya ingawa changamoto ya kuruhusu…

Read More

Straika Fountain Gate aomba muda

MSHAMBULIAJI wa Fountain Gate, Mudrik Abdi Shehe ‘Gonda’ amesema licha ya kutoanza vizuri hadi sasa katika timu hiyo michezo mbalimbali ya Ligi Kuu Bara, ila anaendelea kuzoea mazingira taratibu hivyo ni suala la muda. Nyota huyo alijiunga na kikosi hicho dirisha dogo la Januari mwaka huu akitokea JKU SC ya visiwani Zanzibar kwa lengo kuzipa…

Read More

‘Walimu wasiosimamia adhabu ya viboko waondolewe’

Simiyu. Serikali imeshauriwa kuwaondoa katika nafasi zao walimu wakuu na wakuu wa shule za msingi na sekondari ambao watashindwa kusimamia utoaji wa adhabu ya viboko kwa wanafunzi kwa kufuata Waraka wa Elimu Namba 24. Ushauri huo umetolewa baada ya ongezeko la matukio ya udhalilishaji na madhara kwa wanafunzi yanayosababishwa na adhabu hizo, hasa baada ya…

Read More