
Polisi Zambia kuwasaka mahabusu walioachiwa huru na askari kimakosa
Zambia. Jeshi la Polisi nchini Zambia linawasaka watuhumiwa walioachiliwa huru na askari polisi aliyedaiwa kulewa ili washerehekee mapokezi ya mwaka mpya 2025. Desemba 31, 2024, ofisa huyo aitwaye, Titus Phiri aliwaachia watuhumiwa hao hatua iliyozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii. Msako unaendelea huku wengi wakikabiliwa na mashtaka ya uhalifu ikiwa ni pamoja na kushambulia, wizi…