Sababu wanajeshi Ukraine kutoroka mapigano dhidi ya Russia

Kyiv. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy amesema wanajeshi wanakimbia eneo la mapigano dhidi ya vikosi vya Russia hususan kipindi cha mwaka 2024 ambapo taifa hilo limekumbwa na uhaba wa wapiganaji wa akiba. Ripoti hiyo inadai kubaini uwepo wa wanajeshi wanaokimbia maeneo ya kambi zao za kijeshi kwenye uwanja wa mapambano bila kupewa ruhusa hususan ni…

Read More

Wawili mbaroni wadaiwa kukutwa na miundombinu ya umeme, maji

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia wafanyabiashara wawili kwa tuhuma za kupatikana na miundombinu ya umeme na maji kinyume cha sheria. Akizungumza na Mwananchi leo Alhamisi Januari 3, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema watuhumiwa hao walikamatwa kufuatia msako uliofanywa maeneo ya Nzovwe, Uwanja wa Ndege wa zamani na…

Read More

Kampuni ya CCCC kuimarisha ushirikiano na vyombo vya habari

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Ujenzi na Mawasiliano ya China (CCCC) tawi la Tanzania imesema itaendelea kuimarisha ushirikiano na vyombo vya habari ili kufanikisha utekelezwaji wa shughuli mbalimbali inazozifanya nchini kwa manufaa ya taifa. Akizungumza wakati wa majadiliano kuhusu tathmini ya utendaji wa shughuli za kampuni hiyo, Kiongozi wa CCCC Tawi la Tanzania,…

Read More

Mashambulizi na diplomasia – DW – 03.01.2025

Katika mkoa wa Kyiv, vipande vya mabaki ya droni vilimuua dereva wa lori na kuwajeruhi watu wanne, wakiwemo kijana wa miaka 16. Nyumba za makazi na majengo ya biashara ziliharibiwa katika mikoa kadhaa, ingawa hakuna majeruhi walioripotiwa Kyiv. Jeshi la Ukraine limeripoti kushambulia kituo cha kamandi ya jeshi la Urusi huko Maryino, mkoa wa Kursk,…

Read More

Massawe ‘Bwana harusi’ apata dhamana

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Vicent Masawe (36) maarufu Bwana harusi, anayekabiliwa na mashtaka ya wizi wa gari na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu amepata dhamana. Masawe aliyekula sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya akiwa gerezani baada ya kushindwa kutimiza masharti, amepata dhamana leo Ijumaa Januari 3, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mshtakiwa…

Read More

Nyakua kitita leo kwa kucheza European Roulette sloti

Mchezo ni mmoja tu kwasasa ambao unakuhakikishia kushinda mkwanja wa kutosha nao si mwingine ni European Roulette ambao umekuja kwa kasi na washindi wa vitita wanapatikana kila siku cheza leo ushinde. European Roulette ni moja wa michezo ya kasino ya mtandaoni rahisi na inayopendwa na wachezaji wengi, mchezo huu umetengenezwa na Habanero. Ambapo Meridianbet kasino…

Read More