
Walinzi wa Rais Yoon wawazuwia wachunguzi kumkamata – DW – 03.01.2025
Tukio hilo ni la karibuni katika mgogoro wa kisiasa ambao umezikumba siasa za Korea Kusini na kushuhudia wakuu wawili wa nchi wakiondolewa madarakani katika kipindi cha mwezi mmoja. kuwazuia kwa saa kadhaa kuingia katika makazi ya Yoon, kutokana na wasiwasi kuhusu usalama wao. Limesema wapelelezi wake walisukumana na vikosi vya usalama wa rais. Nje ya…