Umemuandaaje mtoto wa kiume kuwa mtu bora?
Bwana Yesu apewe sifa, karibu katika tafakari ya ujumbe wa leo. Ninayekuletea ujumbe huu ni mtumishi wa Mungu, Mwalimu Peace Marino kutoka Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Ebeneza Nyashimo Jimbo la Kaskazini Busega. Tumekuwa na wiki ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani (IWD) iliyoambatana na mikutano kadhaa ya…