Umemuandaaje mtoto wa kiume kuwa mtu bora?

Bwana Yesu apewe sifa, karibu katika tafakari ya ujumbe wa leo. Ninayekuletea ujumbe huu ni mtumishi wa Mungu, Mwalimu Peace Marino kutoka Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Ebeneza Nyashimo Jimbo la Kaskazini Busega. Tumekuwa na wiki ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani (IWD) iliyoambatana na mikutano kadhaa ya…

Read More

Rais Samia afuturisha Viongozi mbalimbali Mkoani Arusha

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na viongozi kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini, wazee wa Mkoa wa Arusha pamoja na  makundi mbalimbali katika viwanja vya Ikulu ndogo ya Arusha tarehe 08 Machi, 2025.  Viongozi wa dini, wazee wa Mkoa wa Arusha, wageni kutoka Taasisi mbalimbali wakiwa kwenye…

Read More

Unavyoweza kutumia teknolojia kukuza kipato

Teknolojia imeleta mapinduzi makubwa katika nyanja mbalimbali za maisha, ikiwemo mbinu za kukuza kipato. Kupitia maendeleo ya kiteknolojia, watu binafsi na biashara wanaweza kuongeza mapato yao kwa kutumia zana za kisasa za kidijitali, mitandao ya kijamii, na mifumo ya kielektroniki ya biashara. Teknolojia inarahisisha ufikishaji wa bidhaa na huduma, kuongeza ufanisi wa kazi, na kufungua…

Read More

Lilivyoundwa jimbo la Kanisa Katoliki Bagamoyo

Dar es Salaam. Papa Francis Machi 7, 2025 aliunda Jimbo Katoliki la Bagamoyo, nchini Tanzania, akimteua Askofu Stephano Musomba kuwa wa kwanza kuliongoza. Kabla ya uteuzi huo, Musomba alikuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, uteuzi uliofanywa na Papa Francis Julai 7, 2021 na aliwekwa wakfu kuwa askofu Septemba 21, 2021. Padri…

Read More

AUNT BETTIE: EX wangu ananitega, anadai hajanisahau

Niliachana na mpenzi wangu miaka mingi iliyopita, ila hatukugombana tuliona hatuwezi kufika mbali, tukaamua kuachana na kila mmoja akafuata njia yake. Sijamuona kwa miaka mingi. Ajabu nilipofunga ndoa mapema mwaka uliopita nikapigiwa simu na namba nisiyoijua kabla sijauliza jina nikaitambua sauti, kwanza nilistuka sana kwa sababu tulikuwa tunapendana ila hatukuweza kwenda pamoja katika safari ya…

Read More

Sababu wanawake kudanganya wakati wa tendo la ndoa

Kufika kileleni ni msisimko wa kipekee, unaoleta hisia nzuri kwa wenza wawili wanaowajibika kikamilifu katika tendo la ndoa. Hisia hizi hutokea kwa wenza ambao ni mke na mume wote kama ishara ya kufikia kilele cha tendo hilo adhimu ambalo ni sababu ya uumbaji. Hisia hizo huambatana na mtiririko wa matukio yanayohusisha mfumo wa fahamu (ubongo…

Read More

Maswali 7 Dabi ya Kariakoo kuahirishwa

KITENDO cha Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Bara (TPLB) kutangaza kuahirisha mchezo wa Kariakoo Dabi kati ya Yanga na Simba, kimeacha maswali mengi na kuzua mijadala kuanzia mtaani hadi katika mitandao ya kijamii. Kabla ya TPLB kutoa taarifa ya kuahirishwa kwa mchezo huo jana saa 7:53 mchana, tayari Simba ilitoa tamko la…

Read More

WATUMISHI WANAWAKE TCAA WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE KUADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE

Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake, watumishi wanawake wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameshiriki maadhimisho hayo yaliyofanyika kitaifa mkoani Arusha Machi 08, 2025, Mgeni Rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo, Mhe.Rais Samia amepongeza jitihada zilizofanywa katika kuweka uwiano…

Read More