Wawili wafariki, 18 wajeruhiwa ajali ya ndege

California. Watu wawili wamefariki dunia huku wengine 18 wakijeruhiwa baada ya ndege ndogo aina ya Van’s RV-10 kugonga ghorofa la kitega uchumi jijini California nchini Marekani. Ajali hiyo imetokea saa 8:09 mchana wa kuamkia leo Ijumaa Januari 3, 2025 baada ya ndege hiyo isiyo ya kibiashara, yenye uwezo wa kubeba watu wanne, kugonga jengo la…

Read More

Mtoto adaiwa kujinyonga kisa kukosa nguo ya Krismasi

Mpanda. Christina Kalilo (8), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Uruwila, wilayani Mpanda Mkoa wa Katavi, anadaiwa kujiua kwa kujinyonga kwa kutumia sweta, chumbani kwake. Inadaiwa chanzo cha kujinyonga ni mawazo baada ya wazazi wake kutomnunulia nguo za sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya. Akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 3,…

Read More

Mwinyi amjibu Othman tuhuma za ufisadi, deni la Taifa

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amejibu tuhuma zilizotolewa na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman kuhusu ufisadi na ongezeko la deni la taifa lisiloendana na kazi zinazofanyika. Rais Mwinyi amejibu madai hayo leo Januari 3, 2025 wakati akifungua kituo cha mabasi cha Kijangwani, akisema licha ya maendeleo yanayofanyika, wapo watu (hakuwataja) wanataka…

Read More

MOROGORO YATAJWA KANDA MAALUM UFUGAJI WA KISASA

Mkoa wa Morogoro watajwa kuwa Kanda Maalum ya ufugaji wenye tija kwa kuwa na ng’ombe wa kisasa na mashamba ya malisho kwa ajili ya mifugo. Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amebainisha hayo Januari 03, 2025 katika Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro alipokuwa akizungumza na baadhi ya wafugaji wa mkoa huo akifafanua…

Read More

Sababu wanajeshi Ukraine kutoroka mapigano dhidi ya Russia

Kyiv. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy amesema wanajeshi wanakimbia eneo la mapigano dhidi ya vikosi vya Russia hususan kipindi cha mwaka 2024 ambapo taifa hilo limekumbwa na uhaba wa wapiganaji wa akiba. Ripoti hiyo inadai kubaini uwepo wa wanajeshi wanaokimbia maeneo ya kambi zao za kijeshi kwenye uwanja wa mapambano bila kupewa ruhusa hususan ni…

Read More

Wawili mbaroni wadaiwa kukutwa na miundombinu ya umeme, maji

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia wafanyabiashara wawili kwa tuhuma za kupatikana na miundombinu ya umeme na maji kinyume cha sheria. Akizungumza na Mwananchi leo Alhamisi Januari 3, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema watuhumiwa hao walikamatwa kufuatia msako uliofanywa maeneo ya Nzovwe, Uwanja wa Ndege wa zamani na…

Read More

Kampuni ya CCCC kuimarisha ushirikiano na vyombo vya habari

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Ujenzi na Mawasiliano ya China (CCCC) tawi la Tanzania imesema itaendelea kuimarisha ushirikiano na vyombo vya habari ili kufanikisha utekelezwaji wa shughuli mbalimbali inazozifanya nchini kwa manufaa ya taifa. Akizungumza wakati wa majadiliano kuhusu tathmini ya utendaji wa shughuli za kampuni hiyo, Kiongozi wa CCCC Tawi la Tanzania,…

Read More