Majaliwa awapa ujumbe viongozi wa dini

Manyara. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasihi viongozi wa dini nchini waendelee kukemea vikali vitendo vyote ambavyo ni kinyume na maadili ya dini na utamaduni wa Mtanzania. Majaliwa ametoa rai hiyo leo Jumapili Machi 9, 2025 alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika ibada ya kuwekwa wakfu na kutawazwa kwa Askofu wa Pili wa kanisa…

Read More

WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

  Wizara ya Fedha imeungana na Watanzania wengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, iliyofanyika kitaifa Jijini Arusha, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maadhimisho hayo yakiwa yamebeba kauli mbiu ya ‘’Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji’’. Baadhi ya watumishi wanawake wa Wizara…

Read More

Rais Samia azindua mradi wa maji uliokwama miaka 20

Dar/Mwanga. Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza magumu yaliyopitiwa wakati wa utekelezaji wa mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe, akisema kuna wakati ililazimika kusukumana, kusutana na hata kushitakiana na makandarasi. Historia inaonyesha mradi huo wa maji ulitolewa ahadi na Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete Mei 29, 2005 wakati akiomba kura kuingia madarakani kwa kipindi cha…

Read More

DC Mpogolo aliomba Kanisa la FPCT kumwombea Rais Dk. Samia

  MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo,  ameliomba Kanisa la  Free Pentecostal Church of Tanzania (FPCT) kumwombea Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na taifa zima kwa ujumla  hasa wakati huu wa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu. Mpogolo, ameyasema hayo,  alimpomwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila,  katika ibada ya maalumu ya kumsimika…

Read More

Ceasiaa Queens yalia na ratiba WPL

KOCHA wa Ceasiaa, Ezekiel Chobanka amesema mvurugano wa ratiba umeathiri kiasi kikubwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Mlandizi Queens. Awali, mechi hiyo ilipangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa TFF Kigamboni, Machi 12 lakini imesogezwa siku nne mbele huku sababu za kufanya hivyo zikiwa hazijulikani. Akizungumza na Mwanaspoti, Chobanka alisema kama timu wanapambana kupata mechi angalau moja…

Read More

MKUTANO WA VIONGOZI WA TAASISI WAFUNGWA

   Viongozi wa taasisi na mashirika ya umma wamekubaliana kuwa na jukumu la kuweka mazingira bora ya kiutendaji ili biashara ya kaboni na sekta ya mazingira kwa ujumla iweze kukua na kuleta tija nchini.   Hayo yamejiri wakati wa Mkutano wa Viongozi wa Taasisi na Mashirika ya Umma kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi na Biashara ya…

Read More