
Mtoto adaiwa kujinyonga kisa kukosa nguo ya Krismasi
Mpanda. Christina Kalilo (8), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Uruwila, wilayani Mpanda Mkoa wa Katavi, anadaiwa kujiua kwa kujinyonga kwa kutumia sweta, chumbani kwake. Inadaiwa chanzo cha kujinyonga ni mawazo baada ya wazazi wake kutomnunulia nguo za sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya. Akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 3,…