Wajane wa Wanamuziki wa Rumba Tanzania: Walinzi wa Urithi wa Muziki wa Kizazi Kilichopita

Katika historia ya muziki wa Tanzania, majina ya wanamuziki wakubwa wa rumba hayajawahi kufutika kwenye kumbukumbu za mashabiki wa muziki. Lakini nyuma ya kila mwanamuziki shupavu aliyewasha moto wa burudani, kulikuwa na familia, wake, na watoto waliowashika mkono katika safari yao ya kimuziki. Katika kuenzi mchango wa wake wa wanamuziki hawa, tunawatambua na kuwapa heshima…

Read More

Msimamo wa wanawake ndani ya vyama

Dar/Mikoani. Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT), Mkoa wa Dar es Salaam, Mwajabu Mbwambo amewataka wanawake watambue katika uchaguzi wa mwaka 2025 wana jukumu la kuandika historia mpya ya kuwapo wengi katika nafasi za uamuzi. Akizungumza kwenye mkutano wa ndani wa CCM wilayani Kigamboni uliohudhuriwa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi…

Read More

Alama zilizouawa katika 'Abhorrent Attack' kwenye helikopta ya UN huko Sudani Kusini – Maswala ya Ulimwenguni

Zaidi ya wanachama kadhaa wa wanajeshi wa Sudan Kusini, pamoja na mkuu aliyejeruhiwa, pia waliripotiwa kuuawa wakati ujumbe wa UN (Unmise) Helikopta ikawaka moto huko Nasir, Jimbo la Upper Nile. Kulingana na ripoti za habari, helikopta baadaye ilitua salama. Mchanganyiko huo ulikuwa ukifanywa kwa ombi la saini kwa makubaliano ya amani ya 2018, ambayo yalitiwa…

Read More

Lissu akiri changamoto usawa wa kijinsia hata Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewakumbusha wanachama kuwa  changamoto ya usawa wa kijinsia lipo pia ndani ya chama hicho, hivyo wasiwanyooshee vidole watawala, bali walitatue ndani kwanza. Lissu ametoa wito huo wakati wa sherehe za Siku ya Kimataifa ya Wanawake (IWD) zilizoandaliwa na Baraza la Wanawake wa…

Read More

Samia aweka hadharani hatua iliyofikiwa bima ya afya kwa wote

Arusha/Dar. Wakati Watanzania wakisubiri kwa hamu kuanza utekelezaji wa mpango wa bima ya afya kwa wote, Rais Samia Suluhu Hassan ametaja hatua iliyofikiwa katika mchakato huo, akieleza ni jambo zito. Mchakato ulianza kufanyiwa kazi miaka kadhaa iliyopita, ugumu ukiibuka katika maeneo kadhaa, likiwamo la ukusanyaji wa fedha za kuendesha skimu kuwezesha upatikanaji wa bima kwa…

Read More

Butiku amwelezea Profesa Sarungi, kuagwa Karimjee Dar

Dar es Salaam. Waombolezaji wameendelea kufika  nyumbani kwa Profesa Philemon Sarungi kutoa pole akiwemo Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, ambaye amesema Profesa Sarungi, alikuwa mtu mwadilifu na aliyependa nchi yake. Profesa Sarungi ambaye amewahi kuhudumu kama waziri wa wizara mbalimbali na mbunge wa zamani wa jimbo la Rorya alifariki Machi 5, 2025…

Read More

Miradi 12 kutekelezwa kwa hatifungani ya Sukuk Zanzibar

Unguja. Wakati Zanzibar ikianza rasmi usajili wa uwekezaji katika hatifungani inayofuata misingi ya Kiislamu (Zanzibar Sukuk), jumla ya miradi 12 yenye thamani ya Sh1.115 trilioni inatarajiwa kutekelezwa kupitia fedha za uwekezaji huo. Kati ya miradi hiyo, mitatu ipo chini ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi, saba ipo chini ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano…

Read More

Tanzania mwenyeji mkutano wa Fiata Rame 2025, mageuzi ya kidijitali kuangaziwa

Unguja. Wakati mkutano wa kimataifa wa Shirikisho la Vyama vya Mawakala wa Ushuru na Forodha Afrika Mashariki na Kati (Fiata Rame) ukitarajiwa kufanyika Zanzibar, uimarishaji ujuzi katika usafirishaji ni miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kujadili kwa kina. Malengo mengine yatakayofikiwa ni kuchunguza mageuzi ya kidijitali, teknolojia mpya na suluhisho za ubunifu katika sekta ya vifaa ili…

Read More