Makonga, Kelvin waipa nguvu Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Salum Mayanga amesema hadi sasa timu hiyo ya jijini Mbeya iko katika mwelekeo mzuri, hasa baada ya kuwanasa aliyekuwa kipa wa Biashara United, Diey Makonga na mshambuliaji Mtanzania, Kelvin George aliyetokea AS du Port ya Djibouti. Akizungumza na Mwanaspoti, Mayanga alisema licha ya kikosi hicho kushika nafasi ya pili na pointi…

Read More

Kigi Makasi achimba mkwara Championship

KIGI Makasi, nyota wa zamani wa Simba, Yanga na Mtibwa Sugar aliyetua Stand United ‘Chama la Wana’ amesema wachezaji na benchi la ufundi la timu hiyo wamekula kiapo cha kushinda mechi za nyumbani, huku akiichimba mkwara Geita Gold watakayoivaa katika mchezo wa kufungia duru la kwanza la Ligi ya Championship. Makasi alijiunga na Chama la…

Read More

Mwaka mpya, mikakati mipya kudhibiti kisukari

Katika kuadhimisha mwaka mpya, tunapata nafasi ya kutafakari na kufanya mabadiliko chanya katika maisha yetu. Wengi hutumia kipindi hiki kupanga malengo na mikakati mipya na ni muhimu kukumbuka kuwa miongoni mwa mikakati hiyo ni kudhibiti viwango vya sukari. Ulaji wa sukari kupita kiasi ni moja ya changamoto kubwa za kiafya zinazoongezeka duniani na kuleta madhara…

Read More

Ulega amweka kitimoto mkandarasi wa barabara Pangani

Tanga. Mkandarasi anayetekeleza sehemu ya tatu ya barabara ya Tungamaa – Mkwaja – Mkange, Pangani, Tanga yenye urefu wa kilomita 95.2, amejikuta katika wakati mgumu mbele ya Waziri wa Ujenzi, Abdalla Ulega alipomtaka aeleze sababu za kusuasua kwa ujenzi huo. Hata hivyo, katika utetezi wake kwenye utekelezaji wa mradi wenye thamani ya Sh111.55 bilioni, mkandarasi…

Read More

IAA yajipanga kuwa uwanja wa kutumika Afcon 2027

*Prof Sedoyeka aweka mikakati ya kuibua vipaji vya wanafunzi Na Chalila Kibuda Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kimeweka mikakati ya kuendeleza michezo nchini kwa kuwa uwanja wa kisasa katika Kampas ya Babati. Hayo aliyasema Mkuu wa Chuo hicho Profesa Eliamani Sedoyeka wakati akizungumza waandishi wa Habari katika Kampas Mpya ya Chuo hicho Babati mkoani Manyara….

Read More

Siri mafundi simu kuhusishwa katika uhalifu

Dar es Salaam. Kutokana na maendeleo ya teknolojia, simu za mkononi sasa ni zaidi ya kifaa cha mawasiliano. Simu zimekuwa zikitumiwa kama chanzo cha kujipatia kipato katika biashara na kuhifadhi taarifa binafsi, zikiwamo za siri. Mbali ya hayo, zinachangia katika mnyororo wa ajira wakiwamo za wauzaji simu, vifaa vyake na mafundi wa kuzifanyia matengenezo zinapopata…

Read More