Wakili ashinda rufaa kuhusu ubunge wa Cecil Mwambe

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani Tanzania, imeagiza kusikilizwa shauri la kikatiba lililokuwa limefunguliwa na Paul Kaunda, dhidi ya Spika wa Bunge na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ambalo lilitupwa katika hatua ya pingamizi. Msingi wa shauri hilo ni hatua ya Spika wa Bunge wa wakati huo, Job Ndugai kumrejesha bungeni, mbunge wa Ndanda, Cecil…

Read More

Hali ilivyo maadhimisho ya siku ya wanawake Arusha

Arusha. Mamia ya wananchi wa Mkoa wa Arusha na mingine ya jirani wamejitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani (IWD), ambayo kitaifa yanafanyika jijini Arusha. Maadhimisho hayo yanafanyika leo Jumamosi Machi 8, 2025 katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Mageti ya uwanja…

Read More

Yanga yasisitiza kupeleka timu kwa Mkapa leo

WAKATI Simba ikitangaza kutocheza mechi ya leo kwa kile ilichokiita kukiukwa kwa kanuni, wenyeji wa mchezo, Yanga wamesisitiza mechi ipo palepale na wao watapeleka timu uwanjani. Simba imefikia uamuzi huo kwa madai ya kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kama kanuni inavyoelekeza siku moja kabla ili kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga uliopangwa kufanyika leo, Jumamosi,…

Read More

Yanga yakomaa na Dabi, kupeleka timu Kwa Mkapa

Uongozi wa Yanga umesema kuwa mchezo wao dhidi ya Simba leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa uko palepale licha ya watani wao kutoa taarifa kuwa hawatocheza. Taarifa ambayo imetolewa na Yanga leo, Machi 8, 2025 imesema kuwa mchezo huo utachezwa kama kawaida kwa vile taratibu zimefuatwa. “Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuutaarifu Umma…

Read More

Hizi hapa Parokia 17 zilizomegwa Dar es Salaam kwenda Bagamoyo

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Jude Thadaeus Ruwa’ichi amezitaja Parokia zilizomegwa kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwenda Jimbo jipya la Bagamoyo. Parokia hizo ni, Bahari Beach, ⁠Boko, Bunju, Kinondo, ⁠Madale, ⁠Mbopo, ⁠Mbweni Mpiji, ⁠Mbweni Teta, ⁠Mbweni, ⁠Mivumoni, ⁠Muungano, ⁠Nyakasangwe, Tegeta Kibaoni, ⁠Tegeta, ⁠Ununio, ⁠Wazo na ⁠Mbweni…

Read More

Vicoba chachu ya ukombozi wa wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Tunapoadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, kuna haja ya kutambua na kusherehekea mchango wa wanawake nchini katika kukuza uchumi wa familia na jamii kwa ujumla. Licha ya changamoto wanazokabiliana nazo, bado wamekuwa nguzo katika ustawi wa familia kupitia shughuli za kiuchumi, hasa kwa kutumia vikundi vya kijamii vya kuweka na kukopa (Vicoba). Kupitia…

Read More