
Shule ya Ivumwe Mbeya yamwangukia Rais Samia ujenzi wa miundombinu
Mbeya. Uongozi wa shule ya sekondari ya Ivumwe iliyopo jijini Mbeya, umemwangukia Rais Samia Suluhu Hassan ukimwomba asaidie uboreshaji wa miundombinu ya shule hiyo ili kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia katika elimu. Shule hiyo inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), imekuwa ikipata matokeo mazuri kitaaluma ambapo kwenye matokeo ya kidato cha…