Namba 20 zinakupa ushindi kasino ya Extra Bingo!!

Hapa tena Meridianbet kasino ya mtandaoni tunakuletea mchezo wa namba wenye bonasi kubwa na rahisi kucheza, mchezo wa keno ni moja ya michezo pendwa inayopatikana Meridianbet. Extra Bingo ni mchezo wa kasino ya mtandaoni uliotengenezwa na gwiji wa michezo ya kasino ya mtandaoni Wazdan. Je, umechoka kusubiri mpaka kipindi fulani ili kupata droo inayofuata? Kuanzia…

Read More

Usambaaji picha za ngono janga la kitaifa

Moshi. Ni kukua kwa teknolojia ya mawasiliano ya habari, ulimbukeni au malezi mabaya? Ni maswali yanayoumiza wengi kwa sasa, baada ya kuibuka wimbi la usambaaji picha za ngono, video na za mnato, kupitia mitandao ya kijamii. Video hizo baadhi wanatajwa kujirekodi au kurekodiwa kwa hiyari na kuzisambaza wakiwamo wahitimu wa vyuo. Kutokana na wimbi hilo…

Read More

PIRAMIDI YA AFYA: 2025 wazee wafanye mazoezi mepesi zaidi

Heri ya mwaka mpya 2025 kwa wasomaji wote wa gazeti hili katika kona ya afya. Leo jicho la kitabibu litawapa ufahamu kuhusu mazoezi mepesi kwa wazee, ambayo wakiyafanya mwaka huu 2025 yatasaidia kuboresha afya ya mwili, hatimaye kuwakinga na magonjwa yasiyoambukiza. Umri wa miaka 60-65 kuendelea huchukuliwa kama umri wa uzee, yaani kipindi ambacho wengi…

Read More

Mapinduzi Cup 2025 vita ya wanandugu

PAZIA la michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 ambayo kwa msimu huu imehusisha timu za taifa, linafunguliwa leo usiku kwa mchezo mmoja unaozikutanisha timu ‘ndugu’ za Tanzania Bara na Zanzibar, huku Uganda The Cranes ambao ni moja ya wenyeji wa Chan 2025 na Afcon 2027 ikijiondoa katika dakika za mwishoni. Michuano hiyo inayofanyika kwenye Uwanja…

Read More

MTOTO WA MIAKA 12 APOTEA JIJINI DODOMA

Walezi wa mtoto wa Paulina Nanyoro katika kata ya Hazina Jijini Dodoma wameingia katika sintofahamu ya kupotea kwa mtoto wao wa kike mwenye umri wa miaka 12 kutojulikana alipo kwa kipindi cha muda wa wiki mbili huku wakihofia huenda mtoto huyo ametoroshwa licha ya taarifa hizo kuwa mezani kwa jeshi lapolisi. Akizungumzia mazingira ya mtoto…

Read More

Mkali wa mabao KenGold akimbilia Namungo

KLABU ya Namungo iko katika hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa KenGold, Joshua Ibrahim baada ya kufikia makubaliano binafsi na nyota huyo, aliyekitumikia kikosi hicho cha jijini Mbeya kwa mkataba wa miezi sita tu. Straika huyo ndiye kinara wa mabao wa wageni hao wa Ligi Kuu wanaoburuza mkia kwa sasa akiwa na…

Read More