Yanga, Simba yaahirishwa, kupangiwa tarehe nyingine

Mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga na Simba iliyokuwa imepangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa imeahirishwa rasmi na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Uamuzi huu umetokana na sintofahamu iliyotokea baada ya klabu ya Simba kuzuiwa kuingia uwanjani kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo huo,…

Read More

Hospitali ya Wilaya Nachingwea yapatiwa vifaa tiba

Nachingwea. Chama Kikuu cha Ushirika cha Runali kimetoa msaada wa vifaatiba katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea ili kupunguza changamoto ya wagonjwa kusafiri umbali mrefu kutoka wilayani humo hadi Hospitali ya Ndanda mkoani Mtwara kwa ajili ya kupata huduma hizo. Chama hicho cha ushirika kinachojumuisha wilaya za Ruangwa, Nachingwea na Liwale, kimetoa msaada huo kikilenga…

Read More

Ngai: Simba inatuhujumu mapato | Mwanaspoti

Yanga imesisitiza kwamba haitakubali mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliopangwa leo uahirishwe huku ikisema watani wao Simba wanaihujumu mechi hiyo ili kuwanyima mapYanga imesisitiza kwamba haitakubali mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliopangwa leo uahirishwe huku ikisema watani wao Simba wanaihujumu mechi hiyo ili kuwanyima mapato.ato. Hayo yamesemwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga,…

Read More

WAWEKEZAJI WALIOKIUKA MKATABA RANCHI YA USANGU KUONDOLEWA

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti akikagua mashamba ya kuzalishia Mifugo na Malisho kwenye Ranchi za Taifa Usangu wakati wa Ziara yake Machi 7, 2025 Wilayani Mbarali mkoani Mbeya.Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti akikagua mashamba ya kuzalishia Mifugo na Malisho kwenye Ranchi za Taifa Usangu na kushuhudia jinsi…

Read More

Hadi watu milioni moja wanapanga kurudi nyumbani kwa kukata tamaa – maswala ya ulimwengu

Kulingana na shirika la wakimbizi la UN, UNHCRWatu 600,000 wanaweza kuwa safarini katika miezi sita ijayo, kulingana na uchunguzi wake wa hivi karibuni. Msemaji wa UNHCR Celine Schmitt alisema Ijumaa kwamba watu watahitaji “makazi, kazi, shule, hospitali, umeme na maji safi” – yote ambayo yanakosekana baada ya miaka 14 ya mzozo wa raia. Alielezea kukutana…

Read More

Wakili ashinda rufaa kuhusu ubunge wa Cecil Mwambe

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani Tanzania, imeagiza kusikilizwa shauri la kikatiba lililokuwa limefunguliwa na Paul Kaunda, dhidi ya Spika wa Bunge na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ambalo lilitupwa katika hatua ya pingamizi. Msingi wa shauri hilo ni hatua ya Spika wa Bunge wa wakati huo, Job Ndugai kumrejesha bungeni, mbunge wa Ndanda, Cecil…

Read More

Hali ilivyo maadhimisho ya siku ya wanawake Arusha

Arusha. Mamia ya wananchi wa Mkoa wa Arusha na mingine ya jirani wamejitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani (IWD), ambayo kitaifa yanafanyika jijini Arusha. Maadhimisho hayo yanafanyika leo Jumamosi Machi 8, 2025 katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Mageti ya uwanja…

Read More