
2025


TRA KUSHIRIKIANA NA BAKWATA KUTOA ELIMU YA KODI
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kushirikiana na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kutoa Elimu ya Kodi ili kuhamasisha Wananchi kulipa kodi kwa hiari. Hayo yamebainishwa wakati wa mazungumzo baina ya Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda alipomtembelea na kufanya mazungumzo na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dr. Sheikh Abubakar Ali…

MBUNGE UMMY MWALIMU AMSHUKURU RAIS DKT SAMIA KWA KUTOA TENA KIASI CHA BILIONI 4.7 UJENZI BARABARA YA TANGA-PANGANI
Na Oscar Assenga,Tanga MBUNGE wa Jimbo la Tanga (CCM) Ummy Mwalimu amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa tena kiasi cha shilingi bilioni 4.7 ili mkandarasi wa kampuni ya Chiko anayejega barabara ya Tanga hadi Pangani kwa kiwango cha lami aendelee na kazi baada ya kusimama muda mrefu. Ummy aliyasema hayo leo wakati wa…

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU JAJI WEREMA
*Rais Dkt. Samia asema Jaji Werema alikuwa kiongozi mwenye weledi na msimamo. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Januari 02, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuaga mwili wa marehemu Jaji Fredrick Werema ambaye aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika kipindi cha kuanzia Mwaka 2009-2014. Mheshimiwa Waziri Mkuu amesema kuwa Rais…

Wamarekani wenye asili ya kiarabu wana matumaini na Trump? – DW – 02.01.2025
Wamarekani wwnye asili ya kiarabu wanazingatia urithi wa sera za zamani za Trump na uungaji wake mkono usiyosumba kwa Israeli na jinsi yote hayo yanaweza kuathiri sera ya Marekani. Wakati wa kampeni zake, Rais mteule wa Marekani Donald Trump aliungwa mkono na Wamarekani wenye asili ya Uarabu katika baadhi ya majimbo. Kwa mfano Wasel Yousaf…

TPSF yabainisha mambo matano ya kuangazia mwaka 2025
Dar es Salaam. Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limeainisha mambo matano makuu litakayoyasimamia mwaka 2025 ili kuendelea kuongeza mchango wake katika uchumi wa nchi. Mambo hayo ni: kuendelea kusukuma ajenda ya ukuaji jumuishi ndani ya sekta binafsi, kuimarisha sera zinazotabirika, kuimarisha mashirika ya sekta binafsi, kukuza mazingira rafiki ya biashara, na kuhamasisha mazungumzo kati…

'Majukwaa ya kidijitali yanakuza masimulizi ya Israeli huku yakinyamazisha sauti za Wapalestina' — Global Issues
na CIVICUS Alhamisi, Januari 02, 2025 Inter Press Service Jan 02 (IPS) – CIVICUS inajadili changamoto ambazo jumuiya za kiraia za Palestina zinakabiliana nazo katika kupinga ukandamizaji wa kidijitali na kutetea haki na mwanasheria na mtafiti wa Kipalestina Dima Samaro. Kama mkurugenzi wa Skyline International kwa Haki za BinadamuDima inatetea uhuru wa kidijitali na haki…

Je,Wamarekani wenye asili ya uarabu wana matumaini na Trump? – DW – 02.01.2025
Wamarekani wwnye asili ya Uarabu wanazingatia urithi wa sera za zamani za Trump na uungaji wake mkono usiyosumba kwa Israeli na jinsi yote hayo yanaweza kuathiri sera ya Marekani. Wakati wa kampeni zake, Rais mteule wa Marekani Donald Trump aliungwa mkono na Wamarekani wenye asili ya Uarabu katika baadhi ya majimbo. Kwa mfano Wasel Yousaf…

Kilio cha Januari, vifaa vya shule bei juu
Dar/Mikoani. Januari ni msimu wa pilikapilika za maandalizi ya shule. Wazazi na walezi wanahangaika huku na kule kusaka mahitaji, huku bei za bidhaa zikiwa tayari zimepaa. Kwa wafanyabiashara ni msimu wa kutengeneza faida kupitia vifaa vya shule kutokana na bei kuongezeka kutokana na ongezeko la mahitaji. Baadhi ya wazazi na walezi, huu ni msimu wa…

Vikosi vya Syria vyaanzisha operesheni Homs – DW – 02.01.2025
Shirika la Uangalizi wa Haki za Binadamu la Syria linasema operesheni hiyo inalenga waandamanaji wa Alawi, maandamano ambayo serikali mpya imeyatafsiri kama uchochezi. Maandamano hayo yalichochewa na video ya shambulio kwenye jumba la ibaada, ingawa serikali inadai ni ya zamani. Hatua hii imeongeza hofu ya kulipiziwa kisasi ndani ya jamii ya Alawi baada ya kuondolewa…