Yanga yasisitiza kupeleka timu kwa Mkapa leo

WAKATI Simba ikitangaza kutocheza mechi ya leo kwa kile ilichokiita kukiukwa kwa kanuni, wenyeji wa mchezo, Yanga wamesisitiza mechi ipo palepale na wao watapeleka timu uwanjani. Simba imefikia uamuzi huo kwa madai ya kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kama kanuni inavyoelekeza siku moja kabla ili kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga uliopangwa kufanyika leo, Jumamosi,…

Read More

Yanga yakomaa na Dabi, kupeleka timu Kwa Mkapa

Uongozi wa Yanga umesema kuwa mchezo wao dhidi ya Simba leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa uko palepale licha ya watani wao kutoa taarifa kuwa hawatocheza. Taarifa ambayo imetolewa na Yanga leo, Machi 8, 2025 imesema kuwa mchezo huo utachezwa kama kawaida kwa vile taratibu zimefuatwa. “Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuutaarifu Umma…

Read More

Hizi hapa Parokia 17 zilizomegwa Dar es Salaam kwenda Bagamoyo

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Jude Thadaeus Ruwa’ichi amezitaja Parokia zilizomegwa kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwenda Jimbo jipya la Bagamoyo. Parokia hizo ni, Bahari Beach, ⁠Boko, Bunju, Kinondo, ⁠Madale, ⁠Mbopo, ⁠Mbweni Mpiji, ⁠Mbweni Teta, ⁠Mbweni, ⁠Mivumoni, ⁠Muungano, ⁠Nyakasangwe, Tegeta Kibaoni, ⁠Tegeta, ⁠Ununio, ⁠Wazo na ⁠Mbweni…

Read More

Vicoba chachu ya ukombozi wa wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Tunapoadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, kuna haja ya kutambua na kusherehekea mchango wa wanawake nchini katika kukuza uchumi wa familia na jamii kwa ujumla. Licha ya changamoto wanazokabiliana nazo, bado wamekuwa nguzo katika ustawi wa familia kupitia shughuli za kiuchumi, hasa kwa kutumia vikundi vya kijamii vya kuweka na kukopa (Vicoba). Kupitia…

Read More

Kutoka chupa za plastiki hadi vifaa vya ujenzi

Dar es Salaam.  Ni simulizi ya Hellena Silas, mwanzilishi na mkurugenzi wa Kampuni ya Arena Recycling, inayojihusisha na urejelezaji taka za plastiki kutengeneza vifaa vya ujenzi kama matofali na mbao mbadala. Bidhaa hizi zinatumia taka za plastiki na mchanganyiko wa malighafi nyingine. Kinachofanyika ni ushuhuda wa jinsi mawazo ya ubunifu, juhudi na mapenzi ya kweli…

Read More

SERIKALI YAKEMEA UBAGUA WATOTO WA KIKE KWENYE URITHI

Na Seif Mangwangi, Arusha SERIKALI kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imekemea tabia ya jamii katika maeneo mbalimbali nchini kuwabagua watoto wa kike kwa kutowapatia urithi wa ardhi na mali za familia jambo ambalo limekuwa likiibua migogoro mingi katika ngazi ya familia. Hayo yameibuka katika kliniki ya msaada wa kisheria kupitia wizara…

Read More