Danadana zagubika ununuzi mabasi ya mwendo kasi

Dar es Salaam. Danadana zimegubika ununuzi wa mabasi katika Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (BRT) chini ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) katika awamu ya kwanza na ya pili. Rais Samia Suluhu Hassan, alipotoa salamu za Mwaka Mpya kwa Watanzania Desemba 31, 2024 alisema katika mwaka 2025 miongoni mwa miradi itakayotekelezwa kwa uwekezaji kwa…

Read More

Haya hapa maajabu ya Nottingham Forest

  Timu ya Nottingham Forest nchini Uingereza imeendelea kufanya vyema kabisa msimu huu chini ya kocha mkuu Nuno Espirito Santo kwa kufanya historia mpya kwa kushika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa EPL, jambo ambalo halikufikirika kwa wengi mwanzoni mwa msimu. Ufanisi huu umeletwa na mkakati wa kipekee wa kocha Nuno Espirito Santo, ambaye ameonyesha…

Read More

KMC yamng’oa Chikola Tabora United

BAADA ya kiungo mshambuliaji wa KMC, Ibrahim Elias ‘Mao’ kutoonekana kikosini uongozi wa timu hiyo umemalizana na Offen Chikola kwa ajili ya kuongeza nguvu kikosini humo. Elias tangu alipoonyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Fountain Gate ugenini huku timu yake ikikubali kichapo cha mabao 2-0 hajaonekana kikosini. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani…

Read More

Waliofariki kwa kugongwa gari Marekani wafikia 15

Marekani. Idadi ya vifo vilivyotoka na kugongwa na gari aina ya Pickup eneo la Bourbon, New Orleans nchini Marekani imefikia 15 baada ya majeruhi watano kati ya 35 kufariki usiku wa kuamkia leo. Ajali hiyo ilitokea siku ya mkesha wa mwaka mpya 2025, uliohudhuriwa na mamia ya watu katika eneo, hilo huku dereva wa gari…

Read More

Dabo amvuta Bangala AS Vita

SIKU kadhaa tangu amalizane na Azam FC iliyoamua kusitisha mkataba aliokuwa nao, kiungo anayemudu kucheza pia kama beki wa kati, Yannick Bangala amejiunga na AS Vita ya DR Congo inayonolewa na kocha Youssouf Dabo aliyewahi kufanya naye kazi kikosi cha Matajiri wa Chamazi. Bangala aliyewahi kukukipiga Yanga kabla ya kujiunga na Azam misimu miwili iliyopita,…

Read More

Wadaiwa kuharibu gari la polisi mkesha wa mwaka mpya

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kufanya vurugu na kuharibu gari la polisi lililokuwa likifanya doria usiku wa kuamkia Januari Mosi, 2025. Akizungumza leo Januari 2, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema tukio hilo lilitokea usiku wa Desemba 31, 2024 Mtaa wa Kiusa, Manispaa…

Read More

Meridianbet kuanza kazi Brazil – Mwanahalisi Online

  Meridianbet, moja ya waendeshaji wakuu wa kimataifa wa michezo ya kubashiri na michezo ya mtandaoni na sehemu ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), sasa imepata rasmi leseni ya kubashiri mtandaoni nchini Brazil, ikifungua fursa ya kuingia katika moja ya masoko yenye faida kubwa zaidi duniani. Hatua hii inaiwezesha Meridianbet kutoa huduma za kubashiri michezo…

Read More