AKILI ZA KIJIWENI: Jibu la Chalamanda ni rahisi sana

 MDAU mmoja hapa kijiweni amehoji kwa nini kipa wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda kaitwa katika kikosi cha timu ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kitakachocheza kwenye Kombe la Mapinduzi. Ameshangaa kuitwa kwa Chalamanda huku akiwa hayupo hata katika orodha ya makipa watano wanaoongoza kwa kucheza mechi nyingi bila kuruhusu mabao (clean sheet). Na akatoa mfano wa…

Read More

Kwa nini Watanzania huchelewa kufanya manunuzi?

Katika msimu huu wa sikukuu na mapumziko unapoelekea mwisho, kwa siku chache zilizobakia, wengi watajikuta tena wakiwa katika harakati za kwenda masokoni kununua mahitaji ya shule kwa muhula mpya unaoanza. Hali hiyo pia inajitokeza katika misimu ya sikukuu kama Iddi na Krismasi, ambapo kila tarehe ya sherehe inavyokaribia, ni kawaida kuona msongamano mkubwa wa watu…

Read More

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AREJESHA TABASAMU KWA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU MOSHI

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga amekabidhi viti mwendo na vifaa vya shule kwa watoto wenye ulemavu ili kuwarahisishia kufika shule. Naibu Waziri huyo alikabidhi viti hivo kumi ambapo shughuli hiyo ilifanyika katika ukumbu wa halmashauri ya Moshi (KDC) wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro ambapo…

Read More