Mgogoro wa Dr Kongo unaacha akina mama na watoto wachanga wanaokimbilia Burundi – maswala ya ulimwengu

“Zaidi ya watu 63,000 sasa wamevuka nchini, Burundi, wakikimbia ukatilimzozo mbaya katika sehemu za mashariki mwa Dr Kongo, “alisema Imani Kasina, UNHCR Msemaji wa mkoa wa Mashariki na Pembe ya Afrika na Maziwa Makuu. Wakati wa kuongezeka kwa ukimbizi mkubwa wa wakimbizi Burundi ameona katika miongo kadhaa kwa sababu ya uhasama katika eneo lenye utajiri…

Read More

Bodi ya Ligi yatoa kauli sakata la Simba kugomea Dabi

SAKATA la Simba kugomea mchezo dhidi ya watani wao, Yanga, limechukua sura mpya baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kutoa tamko kwamba mechi hiyo ipo palepale kama ilivyopangwa. Simba ilitoa tamko usiku wa kuamkia leo ikisema haitaleta timu uwanjani kwenye mchezo huo kufuatia msafara wa kikosi  chake kuzuiwa jana usiku kufanya mazoezi ya…

Read More

Kukimbiana Simba, Yanga na utamu wake

KLABU ya Simba imetoa taarifa rasmi kwamba haitashiriki kwenye mchezo wa watani wa jadi uliopangwa kufanyika leo, Machi 8, 2025. Hii ni kwa sababu walishindwa kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo huo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa maelezo yao, Simba kama mgeni wa mchezo huo walipaswa kufanya mazoezi ya…

Read More

Mzize, Ateba waibeba Dabi ya Kariakoo

MWISHO wa ubishi. Wakati pambano la Dabi ya Kariakoo likipigwa leo Jumamosi, huku kila upande ukitamba na washambuliaji wenye uchu mkubwa wa kufumania nyavu, Simba ikiwa na Leonel Ateba, Jean Ahoua na Steven Mukwala, wakati Yanga ina Clement Mzize, Prince Dube na Pacome Zouzoua. Pambano hilo linalopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam…

Read More

Dabi ya Kariakoo, mzani upo upande huu

MASHABIKI wa Yanga na Simba wanaendelea kusubiri kuona ni kitu gani kitatokea kabla ya timu hizo kushuka katika pambano la Ligi Kuu lkwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, leo. Mchezo huo huenda ukatoa taswira ya vita ya ubingwa kutokana na pengo la pointi lililopo baina yao, japo Yanga inaingia ikiwa na rekodi nzuri…

Read More

NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Yanga yaihenyesha Simba kibabe

KWA sasa kuna kelele nyingi kuhusu Yanga kuifunga Simba mara nne mfululizo, lakini kama hujui ni, Simba iliwahi kuhenyeshwa kwa miaka mitano ikicheza mechi 12 mfululizo bila kuonja ushindi wowote mbele ya watani wao. Balaa hilo kwa Simba lilianzia Septemba 5, 1981 hadi ilipokuja kujikomboa Agosti 23, 1986 huku ikiwa imecheza mechi 12 mfululizo ikitoka…

Read More