
JAFO AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI WA KISARAWE
Mbunge wa Kisarawe ambaye ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na wananchi wa Kata za Msanga na Boga wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM katika jimbo hilo kwa miaka minne. Na.Alex Sonna-KISARAWE Mbunge wa Kisarawe ambaye ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameelezea mafanikio…