Ramovic: Hao Mazembe hawachomoki | Mwanaspoti

YANGA itaingia rasmi kambini Avic Town kesho Ijumaa kufanya maandalizi ya mwisho kabla ya kuikaribisha TP Mazembe katika pambano la raundi ya nne ya Ligi ya Mabingwa kwa Kundi A, huku benchi la ufundi na vigogo wa klabu hiyo wakiweka mkakati kabambe ili kurejesha heshima anga za kimataifa. Kwa sasa Yanga ndio inayoburuza mkia katika…

Read More

Ishara hizi katika kucha hutabiri hali ya afya yako

Dar es Salaam. Licha ya kucha kuwa urembo asili unaoongeza uzuri kwenye miguu na vidole vya mikono kwa binadamu na wanyama, wataalamu wa afya wanataja kuwa zina taarifa muhimu kuhusu hali ya afya ya binadamu. Ni muhimu kuzingatia mabadiliko ya rangi kwenye kucha zako, na vipengele vingine vinavyotumika kama tahadhari kwa magonjwa mengi. Mabadiliko kwenye…

Read More

Chanzo harufu mbaya puani | Mwananchi

Dar es Salaam. Umewahi kukutana na mtu, kila akipumua anatoa harufu kali usiyoweza kuivumilia? Wengi huhisi ni jasho la mwili na wachache wakidhani ni harufu ya kinywa. Hii ni harufu itokayo puani. Huenda ikawa si ugonjwa, ila ni matatizo ya mfumo wa upumuaji yanayofahamika kama halitosis au bad breath, tatizo hili husababishwa na mambo ya…

Read More

Maafisa Korea Kusini wajaribu kumkamata Rais Yoon

  MAOFISA wa usalama nchini Korea Kusini, wamefanikiwa kuingia katika makazi ya rais mapema leo Ijumaa, wakijaribu kumkamata kiongozi aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol. Anaripoti Sylvia Mwehonzi wa DW…(endelea). Maofisa hao wamefanikiwa kuingia katika makazi ya rais mapema leo Ijumaa, wakijaribu kumkamata kiongozi aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol, wakati wafuasi wake wakiendelea kupiga kambi nje…

Read More

Maagizo mapya ya kuwahamisha watu na mashambulizi ya anga yanaangazia ukosefu wa usalama unaoendelea Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

Haya yanajiri siku moja baada ya Israel kwa mara nyingine kuamuru kuhamishwa kwa maeneo makubwa ndani ya Gaza, ikitaja ufyatuaji wa roketi katika ardhi yake. Maagizo hayo mapya yanahusu takriban kilomita tatu za mraba huko Gaza Kaskazini na majimbo ya Deir Al-Balah, kulingana na uchambuzi wa awali na OCHA. Mashambulio mabaya ya anga Migomo imeripotiwa…

Read More

Maafisa Korea Kusini wajaribu kumkamata Rais Yoon – DW – 03.01.2025

Maafisa nchini Korea Kusini wamefanikiwa kuingia katika makazi ya rais mapema leo Ijumaa, wakijaribu kumkamata kiongozi aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol, wakati wafuasi wake wakiendelea kupiga kambi nje ya makazi hayo. Maafisa kutoka ofisi ya kupambana na rushwa ya CIO, waliingia kwenye makazi hayo kupitia ulinzi mzito katika harakati za kumkamata Yoon anayechunguzwa kufuatia hatua…

Read More