Simu ya Ulimwenguni ya Kulinda Wasichana na Kulinda hatima zao – Maswala ya Ulimwenguni

Mapigano dhidi ya dhuluma ya msingi wa kijinsia yanahitaji juhudi za pamoja kutoka kwa serikali, biashara, jamii, na watu binafsi. Mikopo: Shutterstock Maoni na Mariama JobArteh (Serrekunda, Gambia) Ijumaa, Machi 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SERREKUNDA, Gambia, Mar 07 (IPS)-Mnamo Machi 2000, Binta Manneh wa miaka 15 alikuwa na hamu ya kujaribu ustadi…

Read More

Papa Francis atoa kauli ya kwanza tangu alazwe hospitali

Rome. Papa Francis amewashukuru waumini na wasio waumini wa Kanisa Katoliki kwa kuendelea kumuombea afya njema tangu alipolazwa Februari 14,2025. Papa Francis (88) amelazwa katika Hospitali ya Gemelli mjini Roma akisumbuliwa na maradhi kwenye mfumo wa upumuaji. maradhi hayo yamesababisha asionekane hadharani kwa zaidi ya wiki tatu. Katika ujumbe wake wa sauti (audio) kwa waumini…

Read More

RIDHIWANI AKABIDHI VIFAA VYA MAENDELEO VYENYE THAMANI YA MILIONI 59.4 KWA MAOFISA MAENDELEO CHALINZE

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, ambae pia ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amekabidhi pikipiki 14, vishkwambi 15, na spika 15, vyenye thamani ya sh. mil 59,400,000 kwa maofisa maendeleo ya kata wa Halmashauri ya Chalinze.  Ameeleza vifaa hivyo vitasaidia kuboresha ufanisi wa kazi na kuwafikia wananchi…

Read More

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Zanzibar alishukuru Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Zanzibar, Shaib Ibrahim Mohamed amelishukuru Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani, Save the Childen na Tanzania Bora Initiative, kwa uwasilishaji wa mradi wa Vijana Plus ambao utawafikia makundi mbali mbali ya vijana wa Zanzibar . Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Ndugu…

Read More