
Je,Wamarekani wenye asili ya uarabu wana matumaini na Trump? – DW – 02.01.2025
Wamarekani wwnye asili ya Uarabu wanazingatia urithi wa sera za zamani za Trump na uungaji wake mkono usiyosumba kwa Israeli na jinsi yote hayo yanaweza kuathiri sera ya Marekani. Wakati wa kampeni zake, Rais mteule wa Marekani Donald Trump aliungwa mkono na Wamarekani wenye asili ya Uarabu katika baadhi ya majimbo. Kwa mfano Wasel Yousaf…