Kwa nini Watanzania huchelewa kufanya manunuzi?

Katika msimu huu wa sikukuu na mapumziko unapoelekea mwisho, kwa siku chache zilizobakia, wengi watajikuta tena wakiwa katika harakati za kwenda masokoni kununua mahitaji ya shule kwa muhula mpya unaoanza. Hali hiyo pia inajitokeza katika misimu ya sikukuu kama Iddi na Krismasi, ambapo kila tarehe ya sherehe inavyokaribia, ni kawaida kuona msongamano mkubwa wa watu…

Read More

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AREJESHA TABASAMU KWA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU MOSHI

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga amekabidhi viti mwendo na vifaa vya shule kwa watoto wenye ulemavu ili kuwarahisishia kufika shule. Naibu Waziri huyo alikabidhi viti hivo kumi ambapo shughuli hiyo ilifanyika katika ukumbu wa halmashauri ya Moshi (KDC) wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro ambapo…

Read More

Waeleza matarajio biashara Kariakoo zikifanyika saa 24

Wakati Serikali ikitangaza kuanza kwa biashara saa 24 katika Soko Kuu la Kariakoo, wafanyabiashara na wachumi wamesema hiyo ni fursa kuongeza mapato kwa Serikali na wafanyabiashara na pia kuvutia wateja ndani na nje ya nchi. Hata hivyo, wamesema suala la usalama kwa wateja na wafanyabiashara linapaswa kuimarishwa kuondoa hofu kwa wageni kuingia nchini kufanya manunuzi…

Read More

Dili la Fountain Gate lamtega Kapama

LICHA ya kutajwa kumalizana na Fountain Gate (FOG), kiungo wa zamani wa Simba, Nassoro Kapama huenda akakutana na rungu la kufungiwa baada ya kudaiwa kusaini mkataba na timu hiyo akiwa bado ana mkataba na Kagera Sugar. Kapama alirudi katika klabu ya zamani ya Kagera kwa mkataba wa mwaka mmoja na kuitumikia kwa miezi sita baada…

Read More

Radi yaua ng’ombe 16 hifadhini Rukwa

Rukwa. Radi imeua ng’ombe 16 katika Kijiji cha Ngolotwa, wilayani Kalambo, mkoani Rukwa. Tukio hilo limetokea Jumatano Januari 1, 2025 wakati ng’ombe hao wakichungwa katika hifadhi ya Kalambo mkoani humo, huku mmiliki mpaka sasa akiwa hajafahamika. Mhifadhi Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Ibrahim Mkiwa amesema wamewakuta ng’ombe hao wamekufa hifadhini humo, huku akitoa rai kwa…

Read More

Kilimanjaro Heroes ni ubingwa tu Mapinduzi Cup

Benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Heroes’ limesema kuwa lengo kuu la kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi 2024 yatakayofanyika Pemba, Zanzibar ni kutwaa ubingwa. Kocha wa Kilimanjaro Heroes, Ahmad Ally alisema kuwa pamoja na ugumu ambao watakutana nao katika mashindano hayo, watahakikisha wanacheza vyema katika mashindano hayo ili wamalize…

Read More

Sababu bidhaa za Tanzania kununuliwa zaidi nje ya nchi

Biashara ya kuvuka mipaka imeendelea kuimarika wakati ambao Tanzania imeendelea kuuza zaidi kuliko inavyonunua bidhaa za nje, Ripoti ya Uchumi wa Kikanda ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaeleza. Wakati biashara hiyo ikikua, Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (Tatoa) kimetaka jitihada zaidi katika kupunguza misongamano ya magari mipakani, hasa Tunduma ili kuongeza ufanisi wa…

Read More