
Shambulio la Israel laua zaidi ya watu 10 Gaza – DW – 02.01.2025
Maafisa wa Palestina wamesema shambulio la anga laIsrael limewaua zaidi ya watu 10 katika Ukanda wa Gaza, wakiwemo watoto watatu na maafisa wawili wa vyeo vya juu katika jeshi la polisi linaloongozwa na Hamas. Wakati huo huo aliyekuwa waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant ametangaza kwamba atajiuzulu bungeni. Shambulizi la mapema Alhamisi limeyalenga mahema katika…