Wadaiwa kuharibu gari la polisi mkesha wa mwaka mpya

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kufanya vurugu na kuharibu gari la polisi lililokuwa likifanya doria usiku wa kuamkia Januari Mosi, 2025. Akizungumza leo Januari 2, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema tukio hilo lilitokea usiku wa Desemba 31, 2024 Mtaa wa Kiusa, Manispaa…

Read More

Meridianbet kuanza kazi Brazil – Mwanahalisi Online

  Meridianbet, moja ya waendeshaji wakuu wa kimataifa wa michezo ya kubashiri na michezo ya mtandaoni na sehemu ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), sasa imepata rasmi leseni ya kubashiri mtandaoni nchini Brazil, ikifungua fursa ya kuingia katika moja ya masoko yenye faida kubwa zaidi duniani. Hatua hii inaiwezesha Meridianbet kutoa huduma za kubashiri michezo…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Jibu la Chalamanda ni rahisi sana

 MDAU mmoja hapa kijiweni amehoji kwa nini kipa wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda kaitwa katika kikosi cha timu ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kitakachocheza kwenye Kombe la Mapinduzi. Ameshangaa kuitwa kwa Chalamanda huku akiwa hayupo hata katika orodha ya makipa watano wanaoongoza kwa kucheza mechi nyingi bila kuruhusu mabao (clean sheet). Na akatoa mfano wa…

Read More