Aliyejifanya Luteni Wa Jeshi Simiyu Apandishwa Kizimbani – Video – Global Publishers
Nchambi Nsungwa Mapanda kwa jina maarufu Emanuel Gangala (24) Nchambi Nsungwa Mapanda kwa jina maarufu Emanuel Gangala (24) mkazi wa mtaa wa sima katika halimshauri ya mji wa Bariadi mkoani Simiyu aliyejifanya Mwanajeshi wa JWTZ afikishwa mahakamani kwa makosa matatu. Mwendesha mashitaka toka ofisi ya taifa mashitaka, Betrice Mboya mbele ya hakimu…