Mama Wa Watoto Waliopotea Wakakutwa Mochwari Azungumza Ilivyokuwa – Video – Global Publishers
Huzuni kubwa imetanda katika familia ya Hassan, mkazi wa Temeke, baada ya watoto wake wawili kupoteza maisha katika ajali mbaya eneo la Uhasibu. Watoto hao walitoka nyumbani wakisema wanakwenda shule, lakini badala yake walielekea kwa bibi yao. Familia iliwatafuta kwa siku mbili bila mafanikio, hadi taarifa za polisi zilipoeleza kuwa miili ya…