Kilimanjaro Heroes ni ubingwa tu Mapinduzi Cup

Benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Heroes’ limesema kuwa lengo kuu la kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi 2024 yatakayofanyika Pemba, Zanzibar ni kutwaa ubingwa. Kocha wa Kilimanjaro Heroes, Ahmad Ally alisema kuwa pamoja na ugumu ambao watakutana nao katika mashindano hayo, watahakikisha wanacheza vyema katika mashindano hayo ili wamalize…

Read More

Sababu bidhaa za Tanzania kununuliwa zaidi nje ya nchi

Biashara ya kuvuka mipaka imeendelea kuimarika wakati ambao Tanzania imeendelea kuuza zaidi kuliko inavyonunua bidhaa za nje, Ripoti ya Uchumi wa Kikanda ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaeleza. Wakati biashara hiyo ikikua, Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (Tatoa) kimetaka jitihada zaidi katika kupunguza misongamano ya magari mipakani, hasa Tunduma ili kuongeza ufanisi wa…

Read More

Diarra akoleza moto, Ramovic achekelea

KIPA Diarra Djigui aliyekuwa nje ya uwanja kwa wiki kama mbili amerejea akianza kujifua, jambo lililompa furaha kocha wa Yanga, Sead Ramovic huku akijiandaa kukabiliana na TP Mazembe ya DR Congo wikiendi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga inayoburuza mkia katika Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na pointi…

Read More

Gusa achia yaitisha TP Mazembe

MSAFARA wa TP Mazembe unatua leo nchini tayari  kukutana na Yanga katika mchezo ambao kila timu inataka kuweka hesabu sawa kufufua matumaini ya kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini Wakongomani hao kuna chabo wameipiga na kuwashtua. Baada ya kutambua ina ratiba ya kukutana na Yanga, mabosi wa Mazembe walituma mashushushu ili kupiga…

Read More