DKT. SAMIA KUISUKA UPYA MUHIMBILI KWA TZS. 1.2 TRILIONI -MIPANGO YAIVA NA HUDUMA ZOTE ZITATOLEWA NDANI YA JENGO MOJA

Serikali imedhamiria kuboresha Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuijenga upya ili kuwezesha huduma zote kutolewa ndani ya jengo moja litakalokuwa na vitanda 1,757 kutoka 1,435 vya sasa ambapo mradi huo utagharimu USD .468 Mil (takribani TZS. 1.2 Trilioni) ambapo kati ya fedha hizo USD.364 Mil zitatoka Korea Kusini na Serikali ya Tanzania itachangia USD. 104…

Read More

Rais wa TWCC Atoa Wito kwa Wanawake na Vijana Wafanyabiashara Kushirikiana Katika Biashara

Baadhi ya Wanawake na Vijana wakiwa kwenye mafunzo kuwawezesha manunuzi ya umma. Na Avila Kakingo, Michuzi Tv RAIS wa Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC), Mwajuma Hamza, ametoa wito kwa wanawake na vijana wafanyabiashara kushirikiana na kupeana kazi pale wanapopata tenda za kufanya.  Hayo ameyasema leo Machi 6, 2025  jijini Dar es Salaam, Akifungua mafunzo ya…

Read More

Lawi maji ya shingo Coastal

BEKI wa Coastal Union, Lameck Lawi amesema huu ni msimu dume kwake na timu kwa ujumla lakini wanapambana kuhakikisha msimu ujao wanacheza tena ligi kwa ubora zaidi. Coastal ipo nafasi ya tisa katika msimamo baada ya mechi 22, ikishinda tano, sare tisa na kupoteza mara nane ipo nafasi ya kumi kwenye timu iliyoruhusu nyavu zake…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Samatta anachanga karata vyema

KAPTENI Mbwana Samatta alitupa unyonge sana mwanzoni mwa msimu huu kutokana na kutopata nafasi ya kutosha ya kucheza katika kikosi cha PAOK ya Ugiriki akionekana kutokuwa chaguo la benchi lao la ufundi. Tuliumia sana hapa kijiweni kwa sababu kuna mambo mengi ambayo tulianza kuyawaza vichwani mwetu kutokana na hilo lililokuwa linatokea kwa ‘El Capitano’ wetu…

Read More