Mkakati wa CCM kutetea dola
Dar es Salaam. Ikiwa miezi saba imebakia kuingia kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Chama cha Mapinduzi (CCM), kimehamasisha wanachama wake wa mkoani hapa kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la mpigakura ili kitetee nafasi ya kushika dola. Kimesema nguvu walizoanza tangu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika mwaka 2024…