Mkakati wa CCM kutetea dola

Dar es Salaam. Ikiwa miezi saba imebakia kuingia kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Chama cha Mapinduzi (CCM), kimehamasisha wanachama wake wa mkoani hapa kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la mpigakura ili kitetee nafasi ya kushika dola. Kimesema nguvu walizoanza tangu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika mwaka 2024…

Read More

ETDCO YAWEKA KAMBI EAPCE’ 25 KUTAFUTA FURSA.

  Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imeshiriki Kongamano la 11 la Nishati ya Petroleum (EAPCE’ 25) kwa ajili ya kutoa elimu pamoja kutafuta fursa za ujenzi wa miundombinu ya umeme kwa wadau walioshiriki kutoka Nchi za Afrika Mashariki. Kongamano hilo limefunguliwa na Makamu wa Rais wa…

Read More

Kiama kwa waharibifu wa mazingira, vyanzo vya maji

Morogoro. Tatizo la uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji linaloendelea nchini, limeifanya Serikali kutoa maagizo saba kwa mamlaka za wilaya, mikoa na za maji ikiwamo kutungwa sheria ndogo za kusimamia vyanzo vyote vya maji na kuwachukulia hatua kali watakaokaidi. Maelekezo mengine ni kila Mtanzania popote alipo kutambua ajenda kubwa na muhimu kwa sasa ni…

Read More

Zelensky amwandikia barua Trump, akubali kukutana na Putin

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump amefichua kuwa ofisi yake imepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ikisema yuko tayari kwa mazungumzo na Russia na kusaini makubaliano ya madini adimu. “Ukraine iko tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kuleta amani ya kudumu. Hakuna anayetaka amani zaidi ya Waukraine,” Trump amesema…

Read More